Recent content by mwereki

  1. M

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    safi sana rafiki hukuelewa kwamba elimu ndio uzima wako na wala si cheti...kwahyo hujajifunza kitu kwasababu ulipenda kufanyiwa ndio maana ukatafuta wa kukufanyia nao wakakufanyia kwahyo lazima uwe kilaza kazini maana hakuna namna
  2. M

    Wanawake acheni kuvaa mawigi

    yaani nikionaga mwanamke yuko na wgi ctongozi
  3. M

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    sikukupa kura ila wafanya vyema na unapofanya vyema utapata kibali.....2020 nitatathmini kama wafaa kupata kura yangu. asante kwa hilo mh. rais
Back
Top Bottom