Mwalimu Nyerere alisema wasipoipata ndani ya CCM wataipata nje ya CCM sisi hatupendi CCM kuanguka tunaipenda ishike dora! Lkn ikianguka tutaumia saana saana ndicho chama tulikozaliwa lkn Mhes Nape ataumia zaidi yetu maana ndio ajira yake .ndiko anaendeshea maisha .hivyo tunamheshimu tunaomba...
Niaibu kwa chama kutangaza kushirishwa vikao kwenye Press halafu mkae mseme oohh CCM tunaipenda ?unaempenda utamdhalilisha ?? Huu niudhalilishaji wa chama anaoufanya Nape.sasa wenye kumwambia mwambie CCM inavikao vyake
Aaah Lowassa ni jembe nandio gumzo la Mujini ! Nyinyi mnaopinga nisawa na kujitekenya na kucheka wenyeewe eeeheee !!!😃😃😃😃 sasa kauri .mbiu ya Chadema "peopless???power! Nilikuwa sijaelewa ! Sasa nakuwa hii Lowassa ndio peopless power yenyewe ! Haidhuriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.