Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,200
Mkuu nipo kariakoo leo ndio wamegoma zaidi inaonekana maazimio ya Jana na Pinda hayakufikiwa mwafaka.
Minja bado yupo ndani.
Pinda anasikilizwa na wakulima wenzie
Mkuu nipo kariakoo leo ndio wamegoma zaidi inaonekana maazimio ya Jana na Pinda hayakufikiwa mwafaka.
Minja bado yupo ndani.
Ndo maamuzi ya Rais ambaye tulijivunia ni mchumi, tukiamini kuwa wachumi wanaminimize cost, kumbe sasa huyu mchumi wetu anakwenda opposite yeye anamaximize cost. ndo mchumi wa kwanza kufanya hivyo duniani!
Halafu watapewa Tsheti na kanga ili waseme CCM ina wenyewe. Hii balaa lazima iondoke uchaguzi ujao!!Inafika wakati nahisi hasira ata sijui sababu, jamani haya mambo nchi hii mpaka lini tunaacha mambo ya msingi tunawekeza katika mambo yasiyokuwa ya msingi. Kwa kwl ifike wakati watanzania tuseme basi
We unaejiita UAMINIFUKAZI hujui unachokiongea , na ninawasiwasi na uwezo wako wa kielimu huyu mfanyabiashara ndiye anayeuza kila kitu sasa cjui tafsiri yako ikoje? Na km wewe ni mtumishi cjui mahitaji yako utayapataje na hata Mshahara wako utajitengenezaje. Au ndo wale wale Baba mwalimu na watoto ni walimu au Baba ni askari na watoto wote ni recruit. Think wisely my friend dont allow people laughing at u
Rais ndo kawaambia wafunge maduka!? we.waache waongopeane mikopo waliokopa sijui watailipaje. any way huku kwetu maduka yako wazi tu.
Wakuu nipo hapa mbalizi mbeya,naskia gari ya matangazo inapita kuwahamasisha wafanyabiashara leo kurudi tena na kufungua maeneo yao ya biashara.je mwenyekiti wao aliyekuwa anashikiliwa na polisi kashaachiwa na je mgomo umeisha?