Recent content by mwenye shamba

  1. mwenye shamba

    Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

    Hawa wenzetu huwa wanajikuta keki sana wakati muungano wao ndio wananufaika nao zaidi.Kwa akili zangu za darasa la 7 ni bora kuuvunja ili kila mmoja apambane kwa namna yake.
  2. mwenye shamba

    Singida Black Stars sio mali ya Mwigulu

    Kwa nini isiwe mbalali black stars? Kwa maskani yao yasiwe mbalali? Tumeshahama kwenye dunia ya kufanyana watoto wadogo,kama sio yake abadilishwe wizara aende wizara ya wazee jinsia na watoto tuone kama haijashuka daraja.
  3. mwenye shamba

    Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

    ukimegewa kwanza unaanza kujiona upo level za chini kushinda kitu chochote
  4. mwenye shamba

    Mwizi akiibiwa polisi hawalali.

    Kitaalamu tunasema mbwa kala mbwa! Kwa sheria za dunia wote wamepoteza.
  5. mwenye shamba

    Rais Samia Amewatetemesha Watanzania

    Mwashamba hivi ukiwa kama mwanamme unajisikiaje kuwa na tabia ya kusifia watu hata pale ambapo hapahitaji kusifia?Je kichwani zipo sawasawa?
  6. mwenye shamba

    Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?

    Mwambie apambanie uchumi kwanza aache kupoteza muda kudhani anapendwa na jini.pia ahakikishe anapata chakula kamili na cha kutosha aachane na habari za mlenda,kisamvu na matembele kwa ugali wa mtama.
  7. mwenye shamba

    Je, huwa unafuatilia uwasilishwaji wa Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)?

    Nchi hii viongozi wanawaona wananchi ni vinyesi vyao tu. Wanavihitaji vinyesi wakati wa vipimo tu. Hakuna haja ya kufatilia mambo yanayoumiza moyo na hayachukuliwi hatua,huo muda ni mara mia nikamtafuta mrembo monika aje anipunguzie nyege.
  8. mwenye shamba

    Tumsaidie huyu kimawazo

    Nawaza tu kama ndiye mimi baba mlezi.Ningemwachia MUNGU lakini pia ningetemana na mama yake,maana mtoto mpaka anakomaa hivyo ujue kabisa kuna kolabo na mama yake.
  9. mwenye shamba

    Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

    Hakuna kanuni,nilioa bikra,akaja kutombwa na idd kisa rifti ya gari,tangu hapo ndo nikagundua talent yake kuwa ni malaya haswa,labda ungetushauri tusioe wanawake wenye mashepu kama yale walioahidiwa ndugu zetu katika imani,maana kutombewa mwanamke mwenye shepu ni sawa na mwanamme wa kimasai...
  10. mwenye shamba

    Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

    Jirani kaamua kushinda na njaa kwa hiari yake, ila anataka na majirani tusile, hizi dini kuna namna tunapaswa kuwa nazo makini. HAWA DINI YAO hata wakibaki wao duniani bado watajitoa muhanga.
  11. mwenye shamba

    Gamondi: Sijawaona Aziz Ki na Diarra kambini mpaka sasa

    Mikwara.wanadhani mamelodi wanaingizwa mjini kwa cheap politics kama hizi,kesho mkijichanganya mechi inaishia hapahapa kwa mkapa
  12. mwenye shamba

    Kibabage inatosha sasa, tumechoka

    Mtani ndio umeshapakatwa hakuna namna,azam aliuchomoa mwiko nyuma mara mbili akaweka ice cream ya baridi,sasa naona mtani inakupwelepweta.
  13. mwenye shamba

    Wajumbe wa kamati ya LAAC wafika Chato kwenye kaburi la Hayati Magufuli

    Naona wameshajua yule mama analipeleka gari uelekeo tofauti na sasa wameenda kutubu.
  14. mwenye shamba

    Nahitaji msaada wa kisheria ndugu zangu

    Kama una namba ya mke wa mheshimiwa diwani uwezekano wa kumtomber huyo mke wa mheshimiwa ni mkubwa.BULUGU nakusihi,hama nyege zisisababishe tupeleke maiti ng'wanza.NCHI HII UKITAFUTA HAKI UTAIPATA UKIWA UNALIWA NA BAKTERIA
Back
Top Bottom