Recent content by mwenye shamba

  1. mwenye shamba

    Kama ungepewa dola 500,000 hivi sasa, ungezipangaje na kuzisimamia vipi? Ni jambo gani ungeweka kipaumbele kwanza?

    Natafuta kila mrembo,namkula namkupa ili naye akaongeze mzunguko wa pesa kijijini kwao. Hii dunia yapaswa kuimumunya mapema kabla haijakumumunya. Mwisho wa kunukuu
  2. mwenye shamba

    Tupite hapa kidogo

    Nguvu ya Taifa lolote ni Wananchi wake, viongozi waliotokana na ridhaa ya Wananchi wake, utawala unaojali zaidi hali ya maisha ya watu wake na kesho yao, utawala ukiwa haujatokana na ridhaa ya Wananchi ni ngumu kufikia agenda za maendeleo kwa sababu kutakuwa na mpasuko baina ya watawala na...
  3. mwenye shamba

    Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Kama mtume alichapwa makofi kwa kushindwa kusoma kwa nn unawalaumu maaskofu kuwatukana wajinga?
  4. mwenye shamba

    Arumeru: Akatwa Uume na Mkewe kisha kutupwa uvunguni mwa Kitanda Usiku Manane

    Manka si bora uniue kuliko kunikata mjerebang! Ntaambia nini ile totooo nikiiwekeaga mtalimbo inalia mpaka ma shekh wanakuja 30 kama dec 9?
  5. mwenye shamba

    Matumizi ya VPN humaliza chaji ya simu haraka na hupunguza ubora wa battery

    Huna hoja,nenda katafute hela,muda wa rumumba buku 7 umekwisha.
  6. mwenye shamba

    GE2025 Naishauri Serikali na wananchi yafuatayo baada ya uchaguzi kumalizika

    Ndugu watanzania wenzangu, kwanza nitoe pole kwa watanzania wote kwa yale yaliyotokea. Nikiwa kama mtanzania nina haki ya kuishauri serikali yangu na wananchi wenzangu yafuatayo. (Neno langu sio sheria na siwezi kuwa sahihi kwa yote) 1. Serikali na chama cha mapinduzi (CCM) wajitafakari kwa...
  7. mwenye shamba

    GE2025 Samia: Tutafanya utafiti mkubwa wa Madini Mbogwe

    Mmefungia jf halafu mnataka tupate habari zenu,hivi mnatuona matako zenu ee?
  8. mwenye shamba

    Endapo Nchi yetu itashindwa kusonga mbele kwa miaka 5 ijayo,nyinyi mnaosombwa kwenye Malori tutawauliza

    HAKUNA CHA KUWAULIZA,BADALA YAKE TUTAWAUZA KAMA BIDHAA KUFIDIA HASARA AMBAYO TAIFA LIMEIPATA
  9. mwenye shamba

    GE2025 Samia: Nitawaboreshea usikivu wa TBC Taifa hapa Singida ili iweze kusikika vizuri

    Kwa watu wa singida ahadi hiyo ni kubwa sana kuliko maji na umeme
  10. mwenye shamba

    Mradi wa maji uliokwama kwa miaka 11 wakamilishwa na Serikali ya Rais Samia

    Unawataarifu watu wa nchi gani? Mbona mnakosa akili na aibu kiasi hiki?
  11. mwenye shamba

    Mbona mko kimya na kura ya siku mbili Zanzibar

    Kama ya Tanganyika yametushinda,tutayaweza ya Zanzibar?
  12. mwenye shamba

    Mwamba kama mwamba Magufuli

    Kati yangu mm,ww na mamako nani tumbafu?
Back
Top Bottom