Recent content by mwenye machoyote

  1. M

    GE2020 Wagombea Urais 2020 Kupitia Upinzani: Tundu Antipas Lissu, Lazaro Nyalandu Na Zitto Kabwe

    Ni kweli kabisa unao uwezo wa kujenga hoja vizuri lakini huzuni yangu juu yako ni kwamba umeshindwa kabisa kubalance makala yako na imeonesha moja kwa moja wewe Ni mdau au shabiki au kada wa chama furani. Anyway ninakushauri ujipe muda wa kuchambua upya mambo Kama haya kabla hujaandika chochote...
  2. M

    Mbowe ni wa kumuonea huruma tu!

    Unapofurahia msiba wa jirani kwa sababu bado unaishi, usidhani ndio mwisho wa mauti kufanya kazi yake. Nakuomba unaongelea Jambo Kama Hilo la Mwalimu kunyongwa au mwanafunzi kuuwawa uwe na kiasi kwani hujui njia yako mbele ipoje. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Kwa Walimu Wote, Bara na Visiwani

    Mh!!!!!! Mazito haya chini ya jua Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom