Umesema kweli boss, sema shida hii ni Tanzania ya CCM, sio kwamba tunapenda kuwa boda, kumbuka zile point za shule, lack of capital, poor government support, poor infrastructure, bad leadership etc, kama wewe umetoboa upo kwenye kundi la wachache, uku mtaani watu ugari tu kuupata ni kazi hali...
Bora Wewe boss miezi miwili, mimi toka mwaka jana mwezi wa nane mpaka leo bado wananipa calendar nisubiri, nyuso Zao zimekauka, kauli mbovu, huduma mbovu TZ hii kama huna pesa unateseka kwelikweli, ukitoka nje ya office zao vishoka kibao utasikia njooo nikufanyie itoke chapu daaah noma sana
Vijana wenzangu tujitokeze kwa wingi Oktoba 29, angalia majuzi watu wa Kimara wamejitoa sasa hivi wanakula kiyoyozi. Lakini wapo walioshikiliwa mpaka sasa na polisi lakini ndio walioleta mabadiliko, Oktoba 29 tujitokeze kwa wingi, tumechoka.
Sababu mtu anakukamata kosa lako abiria hajavaa helmet na abiria yeye kaishika mkononi halaf traffic anakuandikia fine inaumiza sana, kama mtu ni boda atanielewa hela yote ya marejesho ya mkopo unawaachia, oyaa wee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.