Recent content by Mwenekaya Nkulu

  1. Mwenekaya Nkulu

    Mamlaka ya mapato Tanzania na mfumo wa internet

    Mamlaka ya mapato Tanzania yaani tra ni chombo cha serikali cha kusimamia ukusanyaji wa kodi na mapato ya serikali, ni mamlaka ambayo kwa jicho fulani hivi inayojitahidi kuhimiza watu katika kulipa kodi kwa njia na mifumo halali. Mamlaka hii imetoa idhini kwa baadhi ya watu au taasisi binafsi...
  2. Mwenekaya Nkulu

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Mimi natumia eatel pia ni takribani saa 9 zimepita toka niweze kupata taarifa mpya baada ya hapo hakuna kitu
  3. Mwenekaya Nkulu

    Kutokua na katiba mpya ndio chimbuko la kila kinachotokea sasa

    Hata ingekuwa ni ile mpya huyu jamaa anajiona yeye mwenyewe ndio katiba, kwa sababu hii iliyopo angeiheshimu angeona haja ya kuwa na hiyo mpya
  4. Mwenekaya Nkulu

    Hizi "voice note" za kuingiliwa mawasiliano sio fake wala za kutengenezwa kama inavyodaiwa(?)

    Hatukumchagua kunasa mawasiliano ya watu yupo pale kuongoza mkakati wa kuondoa nchi kutoka kwenye janga la umaskini wa kipato kwa wananchi, huduma duni za afya na elimu na kuhakikisha ustawi wa jamii kwa ujumla kwa kuhakikisha kuwa nchi inafikia malengo ya kuwa ya uchumi wa kati kwa uhalisia...
  5. Mwenekaya Nkulu

    Mshituko: Mbowe aongoza mashambulizi ya kuvunja katiba ya chama!

    Hayo mengine sio ya msingi sana, la msingi ni je kuna athari gani kwa chama hicho kutofanya uchaguzi huo kwa wakati huu kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa na katiba ya nchi?
  6. Mwenekaya Nkulu

    Makonda: Mchaga kusaidia walemavu na yatima ni jambo gumu sana

    Utoto unamsumbua na chuki kwa Wachaga
  7. Mwenekaya Nkulu

    CAG aibua ufisadi wa kutisha NSSF

    Bado kuna juhudi za kukwamisha ripoti hiyo, nimeona mbunge Ally Saleh kaandika kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba kuna changamoto kwa wabunge kupata vitabu vyote 17 vya ripoti ya ukaguzi, mwenyekiti wa bunge nyoka wa makengeza amesema kwamba kuna gharama za kutoa nakala hizo ili kupata idadi...
  8. Mwenekaya Nkulu

    Ziara ya Rais Magufuli huko mikoani inaonesha somo wananchi halijawafikia!

    Angeruhusu hao wanaoandika kwenye mitandao wafanye ziara kama anavyofanya yeye ndio tungeweza kufanya ulinganisho wa haki lakini hao unaowabeza yeye mwenyewe anaogopa hata wakitaka kukutana na wanachama wao kwa mikutano ya ndani ya vyama vyao, kitendo cha kukosekana kwa mikutano ya hadhara ya...
  9. Mwenekaya Nkulu

    Yu wapi Dr. Slaa aliyekuwa akililia Utawala wa Sheria?

    Alichokuwa anakitafuta ni uhakika wa chakula na sasa kapata kwa hiyo hana uwezo wa kuona upungufu katika hayo kwa sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mwenekaya Nkulu

    Hakuna faida ya dini hii, ni bora isiwepo kabisa. Dini bora ni hii nyingine

    Wakati fulani tulipokuwa tunasoma kuna somo linaitwa historia (sijui kama bado linaendelea kufundishia huko shuleni na vyuoni) tulisoma kwamba kabla ya kuingia ukoloni barani Afrika zilitumika mbinu mbalimbali za kuwalainisha Waafrika ili waweze kutawaliwa kwa urahisi, hivyo kulikuwa na mawakala...
  11. Mwenekaya Nkulu

    Askofu Kakobe na Askofu Gwajima wanaongea kwa busara sana hakika Mungu ni mwema!

    Mwanzoni walikuwa wanasimama na upinzani na unashindwa mara zote kwa hiyo huko walikokuja sasa mjiandae pia kushindwa kwa sababu hao wana nyota ya kushindwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mwenekaya Nkulu

    Nadhani Tundu Lissu anakosea hapa

    Wakati mwingine tumia ubongo wako sawasawa na kama unaona Tundu Lissu kakosea pinga hoja waziwazi kuliko kutoa hoja ya jumla Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mwenekaya Nkulu

    Spika Ndugai amtaka Prof. Assad(CAG) kufika mbele ya kamati ya maadili vinginevyo atapelekwa kwa pingu

    Nilipata kusikia kwamba anatumia sigara Bwege inawezekana kuwa kaacha lakini athari zake zinaendelea kumuandama Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Mwenekaya Nkulu

    Migongano ya kauli za vigogo wa CCM suala la Bashiru na Membe ni dalili tosha kwamba CCM kila mtu anafanya mambo kivyake, kuanzia Mwenyekiti wao

    Hiyo ccm kama taasisi ilikufa toka wakati wa Mkapa kilichobaki ni jina ccm na hao waporaji na waropokaji wakitumia jina la hiyo taasisi na sisi tumepokea na kuridhika kuwa kuna taasisi inaitwa ccm kumbe kikundi fulani cha watu wachache wanaendesha mipango yao
  15. Mwenekaya Nkulu

    Kutekwa kwa Mo: IGP Sirro aonya wanaopingana na maelezo aliyoyatoa juu ya ulipofikia uchunguzi

    Miongoni mwa kazi za bunge ni kuisimamia serikali, hao wametekeleza wajibu wao, ubunge sio tu kuhudhuria mikutano ya bungeni ni wabunge wakati wote, chukua hiyo itakusaidia
Back
Top Bottom