Recent content by Mwenda Heaven

  1. M

    SoC04 Namna Tanzania inavyoweza kuzalisha wataalamu bora katika vyuo vya sayansi na teknolojia nchini

    Tanzania tumekuwa na vyuo vikuu mbali mbali lakini bado hatufanyi vizuri kimataifa na kuzalisha wanasayansi ambao wanategemea kusubiri ajira na sio kugundua mambo. Hivyo serikali inatakiwa kuhakikisha inasimamia kikamilifu namna ambavyo elimu hiyo hutolewa. Mfano. Mwalimu anapotoa assigment kwa...
  2. M

    Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

    Pole Bro! Yaani hata ukiwa unafanya mapenzi unafikiria Masta?? Mrudie amungu atakupa hofu flani.
  3. M

    KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

    Tanzania hii manyanyaso hayataisha. Mini Udsm hiyohiyo nilifukuzwa kwenye mtihani wakidai ID sio yangu
  4. M

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Dawa nyingi sana zinaleta shida, juzi nlitumia DICLOPA nikapata homa nyngne kabisa yaani badala ya kuondoa maumivu nikawa mgonjwa
  5. M

    Uongo upi usio na maana umewahi kutanana nao kwenye Filamu?

    Muvi zipo kutufanya tushangae sio tujifunze ko wale jamaa wakihindi wanafanya vitu tushangaee
Back
Top Bottom