HII bei ilitarajiwa tu na itaendelea kushuka kulingana na mzigo ulivyokuwa mwingi kweny warehouse na Kwa wakulima ndio kwanza hujatoka tunaweza funga msimu na bei za 2000+ Kwa uzoefu wangu
Huyu c mkweli kuna mtu anachuki NAE na kwa taarifa yako polisi wasas bongo wa kitengo cha ugaidi wako makini sana kwa ufatiliaj kwa ishu za ugaidi kama unaamini unachozungumza ni cha kweli mpeleke na ubalozi wa Marekani nako pia wako vizuri kwa kesi za ugaidi nako kama unachuki NAE wala hutobowi...
Nani anaweza nitajia chanzo chao cha mapato hao bakwata ni waislamu tu wenyewe hatujitambuwi kila siku kazi ya kuambiwa hyo taasisi mnayoifata wapi wamejenga msikiti au hata chumba cha madrasa haizidi haipungui pesa za wafadhili huko nje wanakumbatia wao na kujinadi wamejenga wao wao kama wao...
Mimi sioni tatizo kwa mufti kuomba mashine ya kuangalia mwezi au msaada wowote kwa serikali kwa sababu bakwata na viongozi wake jukumu lao kubwa walilowekwa pale ni kugombanisha uislamu na waislamu na serikali wale wapo pale kuhudumia serikali na si kuhudumia uislamu ndio maana chaguzi zao na...
Uchawi haufayi kuujua na wala kujifunza huyo akikwambia hivyo anajua kwa hyo kukusaidia kwake anakwambia hivyo ila ukiujua ni majuto tu na huwezi toka inabidi upambane huko huko
Kumbe ndivo na yy ana rank anapanda uko kuzimu
Na kuna mganga mmoja aliniambia kuwa huu utajiri wa kishirikina ni kuwa kama utakuwa utajiri unaendelea baada ya kufa mmiliki wa kwanza madhara yake yale yanawatafuna hata hawa watakaorithi hili likoje
Hii ya kutumikishwa na hao viumbe baada ya kifo bandia au kifo mazingaombwe ndio inayowakuta ndugu zetu wa utajiri wa ndagu (kinga) tribe baada ya kupewa jini limpatie mali kwa miaka 5 then ana muuwa na kuanza kumtumikisha yey mpaka atakapopata natural death SAS swali linakuja kwann waganga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.