Kauli yako is half-truth....
Nakubaliana na wewe kuwa, Kampeni ya Gwajima ni binafsi.... his ego is bruised. Hali ilipofikia ni kuwa kila mkuu atakalofanya kuhusu Makonda, lazima Gwajima a-claim credit kuwa yeye kasababisha. Hivyo inabidi akomae nae tu.
Sikubaliani nawe kuwa Mkuu hawezi...
"Huyu ni statesman ambaye anaendeshwa kwa principles sio mihemko ya kundi dogo la watu ambalo linataka kumpelekesha...."
Anaendesha nchi kwa mihemko ya kwake mwenyewe kama sio ya kundi dogo, hilo pia ni tatizo.
Kuna vitu vingi tu hapa umeviunganisha pamoja.
"Na pia elewa Gwajima ni mtumishi wa Mungu ambaye ana waumini nyuma yake"
Gwajima pia ni mkazi wa Dar-es-salaam. Hivyo kama alikumbwa na fagio la kuitwa kuhojiwa, sidhani kama mungu anafundisha visasi vya namna anavofanya yeye. Wako watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.