Recent content by mwayena

  1. M

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Watu mna mahaba sana..tumieni akili sasa hisia wekeni pembeni.
  2. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, chagua Moja kukumbatia wasaliti au Wananchi!

    Usaliti ni mavi sana,watu wanapotea,where is wenje?
  3. M

    JamiiForums Tanzania The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    ,Leo hahahahahahahaha, Era yenu inaisha dakika moja ijayo..hehehehehehe HATIMAE CHAMA LANGU
  4. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Ni kweli kwani inatufikisha wapi?mmefunga 2 mnashindwa kulinda?kenge nyie
  5. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Endeles na Dua litapatikana la ushindi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Leo kama sio 3 kwa 2 basi 4 kwa 2.aminini aminini.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Dakika ya 90 ,tutarudi kupiga hesabu...hamuamini?
  8. M

    JamiiForums Tanzania RC Kheri James awahakikishia usalama wanafunzi wapya wa vyuo Iringa

    Anawahikikishia usalama🤔hata kabla ya uchaguzi mliwahakikishia usalama pia😳.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli tulikua tunadai haki ila siyo kwa stahili kilichofanyika kilikua sahihi

    Anyway,tuko tofauti sn🤔
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

    Kundi dogo??🤔🤔😃😃😃😃
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kibonde: Nikiingia ikulu nitanunua Bombadia 70 ili kila Mtanzania apande ajisikie raha

    Mi wanachonifurahisha ni kua, wanongea lugha inafanana kabisa na maccm...mara wamsifie,mara wakazane na aman, aman, aman🤔matapeli haya yanatumika kulaghai wenye nchi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Glory Tausi: Nawahakikishia kuwa uchaguzi huu Utakuwa huru na wa haki

    Kwasasa tumewqelewa vizuri sn,inawezeanaje wapinzani mnaongea lugha ya maccm?...mnatumikia matumbo kenge
Back
Top Bottom