Recent content by Mwaya J

  1. Mwaya J

    SportPesa and Betin Kenya shut down operations, Betin sends all staff home

    Hawa watu hawataki iguswe faida yao. Kidogo tu utasikia mazingira ya uwekezaji siyo rafiki
  2. Mwaya J

    Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

    Acha uwongo wewe. Organic Foods ni ghali huko kwa wazungu kuliko GMO, hujiulizi kwa nini? Maendeleo ya sayansi na teknolojia visikufanye kuwa mjinga wa kutopembua zuri na baya
  3. Mwaya J

    Carol Ndosi: Dear International Community, Don’t come to us later and say “Had we known, we would have done more”

    Wanaharakati wa haki za binadamu ni vipofu ingawa wana macho, viziwi ingawa wana masikio au la ni unafiki wanaojifunza toka kwa mataifa wafadhili wa hizi harakati zao.Yaan tatizo la Congo DRC unalishitakia kwa International Community? Ili wao wafanye nini na kwa nani na kwa lipi? Au Ndosi...
  4. Mwaya J

    TAKUKURU kuchunguza mila za Kichaga

    Kupiga mimbavitoto vya shule halafu mnasuluhisha kwa kupeleka majani unasema ni upuuzi?
  5. Mwaya J

    Nape Nnauye akiwa na Bernad Membe ameandika ujumbe huu; 'Kila mhunu ave na kwao'

    Nape dhambi ya kumpora ubunge chaguo la Wanamtama itakutafuna hadi ukome. Uroho wa madaraka unakusumbua
  6. Mwaya J

    RC Makonda na Msama Promotions and auctions wasiachwe wajichukulie sheria mikononi

    Kama wahalifu watapewa haki kiasi hicho basi hakuna atakaeogopa kuwa mhaifu. Umewaza maumivu wanayopata wasanii kwa kuibiwa kazi zao halafu ukavaa wewe uhusika? Ungefanya hivyo usingeandika hizi porojo.
  7. Mwaya J

    Zitto: Bila aibu watatokea watu watatetea hili igizo la Tanzania na Barrick. Hivi $300m ni % ngapi ya $194 bilioni?

    Lakini Kabwe wewe hufai kuitwa ndumilakuwili? Mimi siyo mnazi wa vyama, ila mliwahi kukosoa kuwa TRA ni waongo wamekokotoa thamani ambayo hata Barrick hafikii thamani yake, sasa mlitaka Barrick walipe pesa ambayo ni uwongo? Lakini pia siyo nyie mmekuwa mnalaumu kuwa kuwagusa hawa wanyonyaji ni...
  8. Mwaya J

    Kwanini CHADEMA inachangisha hela ya matibabu ya Lissu?

    kwa mchango huu, mmmh hapana tuwe wakweli...
  9. Mwaya J

    Leo nimegundua kuwa Kikwete alikuwa mzuri

    mmmhhh JK MZULI? Ni kweli au unafiki tu?
  10. Mwaya J

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Unafiki wetu Watanzania ndiyo unaonekana hapa, yaani tunaibiwa na tumekuwa tunalalamika miaka yote lakini mtu akijitokeza kufuatilia tunaanza kugeuka ooh sheria, fidia!!!! Hivi hawa Wazungu wamewaroga akili nyie watu? Mtu akili timamau unaanza kushabikia ACACIA? Kwa akili ya kawaida mnadhani...
  11. Mwaya J

    Tuhuma za mateso dhidi ya mayaya Oman, jibu la Mtanzania

    Iwe kweli au ila nimepata hofu kuamini baada ya kuona zile picha zinazoonesha akina dada wakikatwa shingo zao kwa shoka. Najiuliza aliyekuwa anarekodi halafu kuzituma mtandaoni alikuwa na lengo gani. Naona kuna kupakana matope zaidi kwa hawa Waoman ingawa hawa jamaa zetu Waarabu na Wahindi wana...
  12. Mwaya J

    Mwenye Masikio na asikie, Rais asiyetaka kuambiwa na amelaaniwa?

    Kua mambo unapotosha, Tanzania hili siyo tukio la kwanza,tulishapoteza wanafunzi kwenye ajali ya moto kule Shauritanga sekondari mkoani Kilimanjaro kama sikosei walikuwa 40, hata hivyo tuache kulalamikia vitu visivyo na msingi watoto waombewe wapumzike kwa amani mbele ya safari yao ya milele...
  13. Mwaya J

    Kikwete ni Rais bora au watu wanamkomoa Magufuli?

    Maneno mazuri wakati nchi inauzwa?????? Hizi akili za wapi?????? Jiulize tunamiliki nn kama taifa,madini ni yetu???, gesi ni yetu??? hebu niachie hapo nisije kutukana bureeee....
Back
Top Bottom