Hivi nyie mnaoshangiria kifo cha Magufuli, Mshajiuliza kwa nini reply zenu zinapata like chache? Kuliko zile reply za wanaonesha kuhuzunika kutokana na kuondokewa jemedari Magufuli.
Najua wengi tunalalamika sababu imejengwa chato ,wengi wangetamani ijengwe labda mwanza lakini mwanza tiyari kuna Bugando hospital Musoma tiyari kuna Mwalimu nyerere hospital ambayo imekamilika hivi karibuni. Ujenzi wa hospital chato umezingatia strategic reason kwa madhumuni ya kuhudumia...
Kweli brother kwa mikia kutolewa nilazima. Wao wenyewe wanajua wanatolewa ndio mana manara anaweweseka kila siku anakuja najipya hajiamini kabisa.Mara oooo war in dar Mara oo sisi sio timu ya wanaichi au wazalendo leo tena kaja jingine analalamika anahofia yanga tunawahujumu.ko kwa ushahidi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.