Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,201
Tumekuwa mashuhuda kwa waamuzi wetu wa ligi ya vpl kwa namna wanavyo fanya upendeleo na makosa ya wazi kwa kisingizio kuwa eti nawao ni binadam!
Kuna makosa ambayo dhahiri yanaoekana wazi lakni waamuzi wamekuwa wakiyafumbia macho.
Timu ya dodoma jiji ni miongoni mwa wafaidika wakuu wa ugoro huu wa waamuzi.
Kufuatia game ya leo,naamini waamuzi wetu wataendelea na ugoro wao kwa kumpendelea dodoma jiji kwa namna yoyote ile,ilimradi kuipa hadhi dodoma ilipo Ikulu ya jiwe.
Kwa vyovyote vile,niwahakikishie mashabiki wa Young African kuwa,leo dodoma lazima ateme point tatu!
Pia matokeo na matukio muhimu nitajitahidi kuweka hapa kwa wale waliopo mbali na tv.
Yanga daima mbele,nyuma..............!!
Game id:5266e67
Venue:dodoma complex
Time:10;00
Ft:yanga 3 dodoma jiji 1 (gg)
#jr
Kuna makosa ambayo dhahiri yanaoekana wazi lakni waamuzi wamekuwa wakiyafumbia macho.
Timu ya dodoma jiji ni miongoni mwa wafaidika wakuu wa ugoro huu wa waamuzi.
Kufuatia game ya leo,naamini waamuzi wetu wataendelea na ugoro wao kwa kumpendelea dodoma jiji kwa namna yoyote ile,ilimradi kuipa hadhi dodoma ilipo Ikulu ya jiwe.
Kwa vyovyote vile,niwahakikishie mashabiki wa Young African kuwa,leo dodoma lazima ateme point tatu!
Pia matokeo na matukio muhimu nitajitahidi kuweka hapa kwa wale waliopo mbali na tv.
Yanga daima mbele,nyuma..............!!
Game id:5266e67
Venue:dodoma complex
Time:10;00
Ft:yanga 3 dodoma jiji 1 (gg)
#jr