Pole sn dada Vai. ....piga moyo konde uendelee na maisha yako. Huwez jua Mungu kakuepushia kitu gani. Stop crying, move on with u r life, usioneshe udhaifu wwt. Be strong, fanya mambo yako ya Kimaendeleo na usipende kukaa mwenyew, kichanganye na marafiki. No nyimbo za huzuni wala profiles za...