Tatizo letu tunataka hadi tumuone Mungu yule pale ndio tuamini kuwa yupo, lkn kuna vitu vingi tu vipo na tunaishi navyo lkn hatujawahi kuviona.
Mfano binadamu tunajinadi kuwa tuna AKILI, lkn tukiambiwa tuonyeshe akili zetu zilipo, sijui kama yawezekana.
Mwingine atakwambia, nasikia maumivu...
Sana Mkuu, shona mbili, Mundende si mchezo, hadi kaunda Suti mkuu[emoji1787][emoji23][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka bujibuji hujuwi maana ya Musjitiwa. Hicho ni kiarabu, tafsiri yake ni rahisi tuu. Unachukuwa herufi nne za mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28].
Nashkuru sana Mkuu, nikifanikisha nitakualika siku ya kuizindua, uwe mgeni wa heshima kuizindua Mundende.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unisaidie kidogo Ndugu.
Andiko linasema ""si kila kimuingiacho mtu humtia unajisi bali kitokacho"".
Kati ya vyakula unavyokula, ni chakula kipi kikuingiacho. Namaanisha kwenye lugha ya kiswahili neno kuingia ni kama vile: ;
Mtu kuingia kwenye nyumba.
Abiria kuingia kwenye gari.
Nyoka...
Yaani umenikumbusha yule ndugu yetu ambae japokuwa ni mgonjwa, na operation zinamuhusu, lakini bado anapata nguvu ya kuchokoka hospitali na kwenda nchi mbalimbali kupayuka ili aendelee kubaki kileleni.
Kwa hili la RC Dsm kwa papaa Liquid kachemka. Binadamu anatakiwa kushauriwa ajirekebishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.