Recent content by MWARABUM

  1. MWARABUM

    Uzi wa kumshukuru Mungu kwa yale aliyokufanyia na anayoendelea kukufanyia

    Ninamshukuru Mungu kwa kuwa bado ninayo hii zawadi ya uhai alonipa maana nimeponea ajali iliyoniweka ICU takriban wiki 3 na siku 4,nikawa sijitambui chochote kinachoendelea duniani miezi 2
  2. MWARABUM

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Cha kutumaini sina
  3. MWARABUM

    Mistari katikati ya barabara inatumikaje kisheria?

    Hapo kiufupi unatakiwa kuangalia mstari uliopo upande wako,km mstari umepita mmoja huo unatumika pande zote mbili.Therefore km kuna dash hapo unaruhisiwa kuovertake,No dash usiovertake sio sehem salama hyo Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  4. MWARABUM

    Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

    Kulielewa hili swala jifunze imani na uweza wa nguvu za Mwenyenzi Mungu kwanza,bila hvo utaona wtu wanaongelea vitu vya kusadikika tu Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  5. MWARABUM

    TANZIA Dar: Pacha Rehema aliyebaki baada ya kutenganishwa naye afariki dunia

    Mponyaji ni Mungu pekee ila Madaktari ni watekelezaji tu kuisaidia afya yako. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  6. MWARABUM

    Nataka Jeans Kali niende Kariakoo au Maduka ya Sinza?

    Ingia Azizi House of Jeans wapo kinondoni morocco na kkoo Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  7. MWARABUM

    Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

    Mpo kweli mabebe wa jf? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. MWARABUM

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Chimbo Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  9. MWARABUM

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Baada ya dona samaki
  10. MWARABUM

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kaka mshana nahitaji mawasiliano yako naweza kupata
  11. MWARABUM

    Kesi ya aibu

    [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
  12. MWARABUM

    Jokes

    Na wao watanyamaza kujiuliza mbona tz wamenyamaza?
  13. MWARABUM

    Naomba kujua debe 1 ni sawa na kilo ngapi?

    Kuna mahindi mengine hayajakauka vzur lazima nayo yatofautiane na yale yaliyokauka vzur zaid
Back
Top Bottom