Hivi hakuna mambo ya msingi ya kujadili paka UJINGA UJINGA wa Simba na Yanga. Tukishapata Nani mkubwa halafu inakuwaje? Huu ndio mtaji wa CCM kuendelea kutawala
Wakati wenzako Wanahangaika Kwa wamasai kutafuta dawa za kuwafikisha wenza wao kileleni wewe unaleta malalamiko ya kumkejeli mkeo anayefika kileleni🤔, kijana wa hovyo kabisaa 🚮
Hauitaji hata D 2 kujua hapa hamna kocha...Kuanzia ufundi, mbinu na kusoma mchezo vyote hamna kitu..
Ama kweli Tuliruka mkojo sasa tumekanyaga mavi.
Vipigo vitaendelea hadi uyu mpuuzi atapofukuzwa....
Huu ni zaidi ya utopolo[emoji706][emoji706]
Matumaini yalikuwa makubwa sana ila baada ya kipigo cha Al Hilal ni kama vile nimeikatia tamaa timu yangu...
Anyway, kila jema likawe mbele yenu Wananchi.....[emoji123]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.