Recent content by Mwanyoro

  1. Mwanyoro

    KERO Barabara ya Endasak mpaka Dareda ina mashimo mengi sana, ni hatari kwa watumiaji

    Kwa sasa Barabara nyingi ni mbovu sana nimeshapasua Tairi mara 3
  2. Mwanyoro

    Je, inawezekana mfanyakazi bank akaomba mkopo Kwa kutumia taarifa za mteja?

    Hela yoyote ya Mkopo inaingia kwenye akaunti ya Mkopaji kama akikopa hiyo hela atainvizaje kwenye akaunti yake kwa kutumia taarifa zako!
  3. Mwanyoro

    Nilijenga kwenye kiwanja cha mama mkwe,akachukua mkopo wakataka mie ndiye nilipe

    Na hiyo Nyumba amenunua Mkeo anakula kodi tu kwa sasa.
  4. Mwanyoro

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Lufilyo Sec School
  5. Mwanyoro

    Nauza mashudu ya Alizeti, nipo Songea mjini

    Habarini za muda huu nauza mashudu ya Alizeti bei ni Tsh 150 kwa kilo moja, mazungumzo yapo endapo utachukua zaidi ya Tani 25 nipo Songea Mjini kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia kwa simu No 0762717285. Karibuni sana. Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
  6. Mwanyoro

    DOKEZO Afisa utumishi wilaya ya TUNDURU ahongwa na CWT ili asiwatoe walimu kuoka CWT kwenda chama cha CHAKUHAWATA

    Kama unaona hujatendewa Haki fuata utaratibu sio kuleta majungu na kumchafua mtu mwenye Legacy yake isiyokuwa na chembe ya ubabaishaji hata kidogo fuatilia Historia yake. tatizo walimu mnataka shortcut na hamtaki kufuata taratibu.
  7. Mwanyoro

    Natakiwa kumfukuza kazi muajiriwa aliekuwa kwenye kampuni kwa miaka 17, Nifanyeje?

    Unfair Termination ni utajiri wa Buree kabisa.
  8. Mwanyoro

    Baadhi ya watanzania ni wajinga kupitiliza

    Kwa nini kama wana roho Nzuri wasiwafundishe watoto namna ya utengenezaji wa Dawa za meno badala ya wao kugawa Dawa kila mwaka yaani mzazi analipa Ada Mil 2 halafu unamletea msaada wa Dawa ya meno ya elfu 1000! Kwanza kaya zingine hizo Dawa low quality hawatumii!
  9. Mwanyoro

    Mashudu ya Alizeti

    Nipo Songea Tani moja nitakuuzia kwa 400,000/= mashudu meusi.
  10. Mwanyoro

    Najuta sana

    Nenda Polisi kajisalimishe polisi toa taarifa na nenda na Polisi wenye Silaha kachukue vitu vyako weeh sema yule Binti ndio alikutongoza na alikuambia yule Mzee ni Mjomba wake hivyo hakukuambia kama ni mke wake angalizo Mzee atakuwa amedhamiria kulipa kisasi hivyo hakikisha hajui kabisa sehemu...
  11. Mwanyoro

    Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

    Moroco kachana mikeka ya watu Sent from my SM-N950N using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom