Habarini za muda huu nauza mashudu ya Alizeti bei ni Tsh 150 kwa kilo moja, mazungumzo yapo endapo utachukua zaidi ya Tani 25 nipo Songea Mjini kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia kwa simu No 0762717285.
Karibuni sana.
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Kama unaona hujatendewa Haki fuata utaratibu sio kuleta majungu na kumchafua mtu mwenye Legacy yake isiyokuwa na chembe ya ubabaishaji hata kidogo fuatilia Historia yake. tatizo walimu mnataka shortcut na hamtaki kufuata taratibu.
Kwa nini kama wana roho Nzuri wasiwafundishe watoto namna ya utengenezaji wa Dawa za meno badala ya wao kugawa Dawa kila mwaka yaani mzazi analipa Ada Mil 2 halafu unamletea msaada wa Dawa ya meno ya elfu 1000! Kwanza kaya zingine hizo Dawa low quality hawatumii!
Nenda Polisi kajisalimishe polisi toa taarifa na nenda na Polisi wenye Silaha kachukue vitu vyako weeh sema yule Binti ndio alikutongoza na alikuambia yule Mzee ni Mjomba wake hivyo hakukuambia kama ni mke wake angalizo Mzee atakuwa amedhamiria kulipa kisasi hivyo hakikisha hajui kabisa sehemu...
Kama kuna jambo hujui ni bora ukae kimya Karani wa Sensa mafunzo kalipwa 40000× kwa siku 18=720000 Kuanzia siku ya Sensa mpaka kuhitimishwa kwa zoezi atalipwa 500,000/= Total 1,220,000/= Katika zoezi hili la Sensa kuna vijana watatoka na mitaji Sasa endelea kubisha unapoambiwa Sensa ni Gharama...
Kwa uzoefu wangu katika saili nyingi ambazo nimesaili vijana, Taifa hili tuna changamoto kubwa sana ya uelewa wa mambo unakuta mtu kasoma special school na ana Bachelor ya Computer Engineering unamuuliza swali what is Operating System anabaki anashangaa akitoka njee anasema wana watu wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.