Recent content by Mwanyoro

  1. Mwanyoro

    Nauza mashudu ya Alizeti, nipo Songea mjini

    Habarini za muda huu nauza mashudu ya Alizeti bei ni Tsh 150 kwa kilo moja, mazungumzo yapo endapo utachukua zaidi ya Tani 25 nipo Songea Mjini kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia kwa simu No 0762717285. Karibuni sana. Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
  2. Mwanyoro

    DOKEZO Afisa utumishi wilaya ya TUNDURU ahongwa na CWT ili asiwatoe walimu kuoka CWT kwenda chama cha CHAKUHAWATA

    Kama unaona hujatendewa Haki fuata utaratibu sio kuleta majungu na kumchafua mtu mwenye Legacy yake isiyokuwa na chembe ya ubabaishaji hata kidogo fuatilia Historia yake. tatizo walimu mnataka shortcut na hamtaki kufuata taratibu.
  3. Mwanyoro

    Natakiwa kumfukuza kazi muajiriwa aliekuwa kwenye kampuni kwa miaka 17, Nifanyeje?

    Unfair Termination ni utajiri wa Buree kabisa.
  4. Mwanyoro

    Baadhi ya watanzania ni wajinga kupitiliza

    Kwa nini kama wana roho Nzuri wasiwafundishe watoto namna ya utengenezaji wa Dawa za meno badala ya wao kugawa Dawa kila mwaka yaani mzazi analipa Ada Mil 2 halafu unamletea msaada wa Dawa ya meno ya elfu 1000! Kwanza kaya zingine hizo Dawa low quality hawatumii!
  5. Mwanyoro

    Mashudu ya Alizeti

    Nipo Songea Tani moja nitakuuzia kwa 400,000/= mashudu meusi.
  6. Mwanyoro

    Najuta sana

    Nenda Polisi kajisalimishe polisi toa taarifa na nenda na Polisi wenye Silaha kachukue vitu vyako weeh sema yule Binti ndio alikutongoza na alikuambia yule Mzee ni Mjomba wake hivyo hakukuambia kama ni mke wake angalizo Mzee atakuwa amedhamiria kulipa kisasi hivyo hakikisha hajui kabisa sehemu...
  7. Mwanyoro

    Mechi ya Fainali Kombe la Dunia Qatar 2022 itakuwa kati ya Ufaransa na Argentina

    Moroco kachana mikeka ya watu Sent from my SM-N950N using JamiiForums mobile app
  8. Mwanyoro

    Kwa ujinga huu, vijana tusahau kufanikiwa

    Kama kuna jambo hujui ni bora ukae kimya Karani wa Sensa mafunzo kalipwa 40000× kwa siku 18=720000 Kuanzia siku ya Sensa mpaka kuhitimishwa kwa zoezi atalipwa 500,000/= Total 1,220,000/= Katika zoezi hili la Sensa kuna vijana watatoka na mitaji Sasa endelea kubisha unapoambiwa Sensa ni Gharama...
  9. Mwanyoro

    Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

    Kwa uzoefu wangu katika saili nyingi ambazo nimesaili vijana, Taifa hili tuna changamoto kubwa sana ya uelewa wa mambo unakuta mtu kasoma special school na ana Bachelor ya Computer Engineering unamuuliza swali what is Operating System anabaki anashangaa akitoka njee anasema wana watu wao...
  10. Mwanyoro

    Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

    Bati Bora ni Bati za ALAF wengine hakuna kitu nimeezeka mwaka 2013 Bati kama imeezekwa jana kitu bado kinang'aa balaaa.
  11. Mwanyoro

    Shinyanga: Watumishi sita wafukuzwa kazi kwa utoro, kughushi

    Sheria ya Utumishi wa Umma sura ya 298 marejeo ya Mwaka 2019.
Back
Top Bottom