NIONAVYO MIMI
Kikubwa ni kua busy na mambo ya maana tenga Muda mwingi zaidi wa kufanya mambo yako ya maana kama kazi au biashara.... Pata Muda wa kusoma vitabu hasa vya wanasaikolojia.... Jichanganye na marafiki... Usijipe Muda wa kumfikiria huyo mtu.. Unasahau tu japo itachukua Muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.