Ku google unapata idea tu, but reality unatakiwa kuwa na mtu aliekuwa dealer wa ishu husika. Nmesoma Makala nyingi tu lakini Kiu yangu Kwa ssa nikukutana na mtu aliewahi au anaejihusisha na kilimo hiki.
Hello wanaJF,
Mimi kijana mpambanaji wa kitanzania, natafuta mentor wa kilimo cha matango.
Tafadhali Kama una hints zozote kuhusu kilimo hiki karibu tafadhali.
Primary computer, Nlkuwa nazionea sana hesabu Za sehem. O level H. P mtto WA Mapunjo (head master hyo),scientist Na Mwangson. Ikwriri sec. Hyo chuoni Mwangson Baba zube. Hatari sana...
Primary computer, Nlkuwa nazionea sana hesabu Za sehem. O level H. P mtto WA Mapunjo (head master hyo),scientist Na Mwangson. Ikwriri sec. Hyo chuoni Mwangson Baba zube. Hatari sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.