Recent content by Mwangesela

  1. Mwangesela

    Nitapata wapi Engine za Toyota?

    Ndugu zangu nataka kununua gari hususani brand za Toyota kama vile IST, Raum, Wish, Ipsum, Subaru, Kluger n.k. Je, ubora na uimara wa injini nitajuaje au nifanye nini nisiingie pori?
  2. Mwangesela

    Kumridhisha Mwanamke inategemeana na nini?

    Wadau hivi kuna uhusiano wowote kati ya size ya uume na kumfikisha mwanamke kileleni? Mwenye uzoefu tafadhari sana.
  3. Mwangesela

    Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

    Mmhh hyo sasa mdau unatafuta balaa
  4. Mwangesela

    Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

    Wauza urembo na nguo za kike, wauza nyama
  5. Mwangesela

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaaaa sasa c ungeendelea na kimya kimya au haikuwa poa huko mlikoenda
  6. Mwangesela

    Msaada kwa mwenye uzoefu na gari aina ya Toyota Nadia

    Naomba msaada mwenye uzoefu na gari hii TOYOTA NADIA UIMARA, BEI NA ULAJI WA MAFUTA
  7. Mwangesela

    Kuna uhusiano gani wa CC za gari na ulaji mafuta?

    Thanks administration for accepting my request im happy to be official member of this forum hope nitanufaika na mengi
Back
Top Bottom