Recent content by Mwanganta

  1. M

    Kuitwa kazini Advans Bank

    Jaman wana jf kuna mtu au watu wameitwa kazin kwa loan officer mbeya ?
  2. M

    Interview-PWC

    Daa mlisha fanya. Waliita lini?
  3. M

    Kuna umuhimu gani kuthibitisha vyeti wakati watahitaji original?

    Mimi najiuliza nin maana ya kucertify mbona kwenye hvyo vyeti wameandika this is to certify that mr.... Kwan lazma mhuri Wa mahakama. Me naona zote ni taasisi za uma na zinamamlaka ya kutoa vyeti. Huu ni ubabaishaji 2 wa mambo. Kwa hyo taasis za elimu haziamiki ila mahakama?
  4. M

    Kubadilisha jina

    Ulisha chelewa cheti cha form four ndio shida, hakibadilishwi wala kutolewa kingne hebu fuatilia hapa kama inawezekana lakin nijuavyo mimi ni ngumu bz ya kuzidi kwa vyeti feki.
  5. M

    URGENT:Msaada wa jinsi ya kuapply nafasi za mafunzo ya ualimu online

    Vp kuna sehemu wameonyesha kuwa mwombaji ambatanishe cheti cha kuzaliwa na passport?. Me sijaona kwenye tangazo ila watu wanafanya. vp hii msaada jaman?
  6. M

    Vipi Kuhusu Puma?

    Salaam, hawa jamaa walitoa nafasi za graduate trainee vipi kuna watu waliitwa au bado? tujuzane.
  7. M

    PROFESSOR Anatafuta Kazi

    Acha kumudhalilisha prof. Yaan prof atafutiwe kaz na mjukuu.?
  8. M

    Kuitwa interview 2, siku moja

    Umeitwa wapi? Mbona unataka msaada wakati unaficha uchi?
  9. M

    Hivi mtu kuwa Cream inamaanisha kuwa na First Class au Upper Second?

    Hv jamani chuo maana yake nini? Chuo ni sehemu ya kujifunza theory na sio practice. Kwa hyo hapa mtu mwenye kufaulu vizuri ndio mzuri .sasa kama wewe huna theory unapractice nini?
  10. M

    Hivi mtu kuwa Cream inamaanisha kuwa na First Class au Upper Second?

    Sisi wenye GPA Ndogo daa tunajitetea sana. Tunatoa mifana kujifariji. Ualimu hakuna interview shwaaa unaingia bila shaka. Kwan hyo GPA Ndogo ulipenda kupata au ndio uwezo? Usilalamike bana si ulicheza chuo sasa basi komaa.
  11. M

    Hivi mtu kuwa Cream inamaanisha kuwa na First Class au Upper Second?

    Nashukuru mungu mimi nina GPA 2 kama mwalimu nmeajiriwa tena dar es salaamu-kinondön. Wenye GPA ndogo karibu ualimu maana hamna uwezo. Aliyefeli form form alienda ualimu. Six ualimu .chuo Ambao sio walimu na wana GPA Ndogo karibu ualimu kila kila kitu kidogo. Ila GPA Ndogo huku kungine...
  12. M

    Muhimbili interview

    Kweli binadamu mna matatizo. Kazi hamna mkiitwa mnaanza kuulizia mshahara. Daa kaz kwel
  13. M

    Jinsi nilivyoitwa kwenye Interview SONGAS

    Angalieni sana current address zenu hzo. Kwa sababu mara nyingi wanaangalia current adress
  14. M

    Asanteni NBC Bank mmetutumia na sasa mmetu-dump

    Tatizo wabongo waoga sana. Jaribu kusoma sheria za ajira. Kama huwezi basi omba msaada wa sheria. Musiishie kulalamika kama vile sio wasomi. Sheria zote zipo wazi. Tafuta mtu aliyesoma HR au sheria akupe maajuzi
  15. M

    Jinsi ya Kuji-introduce katika Interview

    Good example@golota
Back
Top Bottom