Recent content by mwangalizi

  1. mwangalizi

    Goodluck anayetajwa Sana kwenye kesi ya Mbowe ni nani?

    Tuelezwe na wazazi/ndugu zake ni kina nani na wapo wapi pia, tukawaeleze walivyo waajabu kutuzalia mtoto kama badluck
  2. mwangalizi

    Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021

    Kesi yenyewe haikuonyeshi uzito wa Mbowe? Wakuu wako wanatetemeka mbele ya Mbowe.[emoji38][emoji38][emoji38]
  3. mwangalizi

    Sabaya akionesha majonzi juu ya kifo cha Magufuli

    Nadhani umeshangaa wewe sasa
  4. mwangalizi

    Wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya Upinzani?

    Anzia kwa Askari wanaovaa hadi jezi za ccm na huku bado wako kazini
  5. mwangalizi

    Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6

    Ninacho elewa ni kwamba MUNGU habahatishi, akitenda, watesi wata tafutana sana tu,[emoji3577][emoji3577][emoji3577]
  6. mwangalizi

    Tozo ya Tsh. 100 hadi 200 kila siku kwenye line za simu: Mitandao ya simu isitishe uuzwaji wa Vocha

    Tumekuwa watu wa KULALAMIKA tu katika kila jambo! Hamtaki ndugu zenu waajiriwe? Wapandishwe madaraja? Lami kila kona ya nchi? Dawa zahanati?
  7. mwangalizi

    Je, hoja za Nyalandu zimejibiwa?

    Upo sahihi, tena huyu ndugu ana siasa za kistaarabu, si wa kufurumusha mitusi
  8. mwangalizi

    Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

    Si mambo ya kuhitaji kuumiza kichwa chako haya, miaka yote tumeimba, tumetisha, tumesingizia watu kuwa WANAHATARISHA MUUNGANO, kwamba MUUNGANO ULINDWE KWA GHARAMA ZOZOTE. Acha mambo yaende hivyo hivyo; ndiyo gharama yenyewe
  9. mwangalizi

    Hayati Magufuli anao wengi wa kumtetea, legacy na Watanzania

    Vipi kuhusu makaburu wa south Africa? Waliojenga miundo mbinu kibao huko south? Unataka kutuaminisha wana legacy kubwa kuliko Mandela? Pole, uchungu wa msiba bado haujakutoka, nakushauri utumie muda mwingi kulala, akili zitakurudi.
  10. mwangalizi

    Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

    Sisi na nani? Wezi wakubwa! Msituchanganye kwenye ushamba wenu. Wana wenye laana ninyi.
  11. mwangalizi

    Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

    Unajaribu kusafisha shimo la choo, utaweza? Ni nani ambaye hakusikia ujinga wa huyo unayemtetea? Aibu yake na laana yake vitamfuata hadi kizazi chake cha saba, usijaribu kununua matatizo ya mpuuzi
  12. mwangalizi

    Watanzania tuwe wavumilivu, hili la kupanda bei vifurushi tutavumilia pia

    Mambo ya kupita tu haya, sisi wanyonge tunaelewa maana ya kunyongwa na pia tunakubali kunyongwa, yaani kiroho safi safi tu
  13. mwangalizi

    CCM wameshaivuruga nchi - TAHADHARI

    Nimeachana naye juzi aise, nitakuja kwenye agriculture, natumaini utakuwa mwenyeji wangu
  14. mwangalizi

    CCM wameshaivuruga nchi - TAHADHARI

    Sawa ndugu, huko utatoboa vizuri tu maana mazao yanakubali huko. Biashara na ajira katika zama hizi hazilipi, labda uamue kula haramu kama huyo OC CID
  15. mwangalizi

    CCM wameshaivuruga nchi - TAHADHARI

    Yaani bado ya moto moto hii, Landanai nimefika kwenye mashamba ya mzungu pia
Back
Top Bottom