Si mambo ya kuhitaji kuumiza kichwa chako haya, miaka yote tumeimba, tumetisha, tumesingizia watu kuwa WANAHATARISHA MUUNGANO,
kwamba MUUNGANO ULINDWE KWA GHARAMA ZOZOTE.
Acha mambo yaende hivyo hivyo; ndiyo gharama yenyewe
Vipi kuhusu makaburu wa south Africa? Waliojenga miundo mbinu kibao huko south? Unataka kutuaminisha wana legacy kubwa kuliko Mandela?
Pole, uchungu wa msiba bado haujakutoka, nakushauri utumie muda mwingi kulala, akili zitakurudi.
Unajaribu kusafisha shimo la choo, utaweza?
Ni nani ambaye hakusikia ujinga wa huyo unayemtetea? Aibu yake na laana yake vitamfuata hadi kizazi chake cha saba, usijaribu kununua matatizo ya mpuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.