Tulikuwa tunajiuliza kwa nini ulikosa ubunge wakati tulikua tunaamini kuwa wewe ni kijana makini kumbe wewe ni kijana bogasi,
Kama mbunge unawakilisha wananchi inamana kwamba umeaminiwa na kupewa zamana. Kuhiyo ukiwepo bungenei una wakilisha mawazo ya wengi. Wewe kama kiongozi unatakiwa...
Anaitajika phamacist wakusimamia pharmacy mwenye cheji kilicho sajiliwa. Kituo cha kazi kipo Dar es salaam Sinza .
Mawasiliano - 0655886788 , Email- living_sto20@yahoo.com
Yawezekana kweli, kumbuka hivi ni vita na mapambano nimakali na yamepamba moto baada ya Arumeru. But wanapoteza muda. dawa ni maisha bora kila mtanzania tatizo siyo hao watu but warudisha haki wanayo tuibia .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.