Ndugu wana Jforum, nawasalimia kwa salamu zote.
Husika & kichwa cha habari hapo juu"MAWAZO YENU/KWANGU".
Pichani kama navyoonekana, ni Mimi MWANGAH nilikuwa maeneo ya kazi zangu ktk mkoa wa KILIMANJARO wilaya ya MWANGA kwenye BODABODA.
Kwa sasa, nimerud maeneo ya mkoa wa DAR & jiran mkoa wa...
Mkuu, mwakan mwezi wa Pili nitafanya zoezi moja kubwa sana"NAFUNGA NDOA", kupitia Katolik ,maeneo Mbagala Zakhem.
Nina taka kujua bei ya kila mzigo hapo, ili nikijiweza nikutafute pia..
Ni kwel mwenye shiida haimpas kuchagua..
Lkn ndugu, ili niweze kufanya kazi kwa umakin zaid, nilipendekeza mpya , & mdhamin yupo ambaye ataweza kukuakikishia uwe & aman kwa ili..
Naomba nisaidiweee..
Ni kweli, ishu ni LESENI lkn nina mpango wa kuitafuta & 7bu nina Chert cha mafunzo nitajitaid kwenda kuichukua.
Nimekiacha KILIMANJARO
Ni kweli sana'NDUGU..
Lkn, safar moja uanzisha safar nyingine & maisha ni kuchagua.
Kwa hiyo, nimechagua & ninataka nianze kwa ili la BODABODA & baada ya hapo'MUNGU akipenda kuna vitavyojitokeza kama fursa pia.
Aksante sana.[emoji1317]
Kwa hili, halina kutazamia Viongozi wa Dini, kwmb wanatoa neno gani ktk USHOGA..
Hakuna hasiyelifahamu & sio geni kwmb USHOGA ni chukizo ktk Jamii & kwa Mungu.
Ni upepo tuu, unapita maana hakuna Jipya chini ya Jua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.