Recent content by Mwanga Mkali

  1. Mwanga Mkali

    Usitumie Mafuta ya kukamulia Ng'ombe kujipaka binadamu

    Ni swali zuri, na kwa sasa yameshika kasi, haya harufu wala hiyo miwasho nimewahi yatumia nasubilia reaction
  2. Mwanga Mkali

    Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Alifia Roma akiwa Gerezani na aliteswa sana na Kaisari Nero. Ukisoma Timotheo... Hili linaonekana kuwa waraka wa mwisho aliouandika Paulo, na lina kauli ya kuaga ya kusikitisha. Paulo anasema ..Anajihisi "anamwagwa kama dhabihu" na anasema kwamba "wakati wa kuondoka kwangu umefika" (2 Timotheo...
  3. Mwanga Mkali

    Baba mdogo alipoteza ajira yake, akapata kesi, kafungwa jela kwa kukosa faini milioni 40 tu, huku ana watoto wakubwa aliowasomesha India na UK

    Ikiwa mahakama ilijiridhisha pasipo na shaka kuwa ni mwizi na kila alichofanya alikikamilisha kwa wizi, ni halali asote jera iwe fundisho kwa mijizi yote.
  4. Mwanga Mkali

    CRDB WAKALA Wanakataa kutoa huduma ya Direct transfer kwa wateja wa Bank ya CRDB

    Taarifa kwa uongozi wa CRDB Bank kulifanyia kazi swala hili maana ni kero kubwa sana kwa wateja wenu. Binafsi nimepata usumbufu huu mara nyingi, kukataliwa kufanya direct transfer kwa mawakala wenu kwa kisingizio kwamba hawapati commission yoyote kwa huduma hiyo, fanyeni Uchunguzi mtabaini, kwa...
  5. Mwanga Mkali

    Kanda ya Ziwa yasimama Rais Samia; Awasili Jijini Mwanza na kupokelewa na Maelfu ya Wananchi Wenye Nyuso za Tabasamu na furaha akielekea Mkoani Simiyu

    Unategemea Samia anaushawishi wa aina gani? Zaidi ya machawa kumsifia ili kulinda matumbo yao na najisi wanazo miliki.
  6. Mwanga Mkali

    Askofu Gwajima atoke hadharani aombe msamaha na kuapa kutorudia tena makosa yake ili afunguliwe Kanisa lake

    Kaiulize familia ya Mzee Kibao, Azori, Mdude Hilo swali watakujibu. Takataka wahed.
  7. Mwanga Mkali

    Askofu Gwajima atoke hadharani aombe msamaha na kuapa kutorudia tena makosa yake ili afunguliwe Kanisa lake

    Yaani mijitu inaongea utadhani hakuna raia wanao tolewa uhai. Kuna shida kubwa sana hii nchi.
  8. Mwanga Mkali

    Mke akiondoka nyumbani kwa ugomvi je? Anafuatwa au atarudi tu. Mwenyewe

    Unamnyimaje chakula mkeo? We ndio unahangaika muda huu ye katulia kwa Dadake alikoenda kutafuta chakula. Mwombe radhi onyesha upendo.
  9. Mwanga Mkali

    Hivi wanawake wa kihangaza kutoka Ngara Kagera wana tabia gani?

    Mmh siwezi kushauri chochote zaidi ya kuacha ukapambane nao... Nachojua ni washenzi wa tabia
  10. Mwanga Mkali

    USHAURI: Serikali fungieni na makanisa ya Katoliki, Lutheri na Anglikana

    Read between the line mleta mada Hana hoja ulizo wakilisha... Anaongelea mauaji na utekaji unaokumbatiwa na serikali kwa kuwanyamazisha whistle blowers wadogo kitaasisi. Ni uhuni tu ukweli Samia ka fell big time hana uwezo wa kuongoza nchi.
  11. Mwanga Mkali

    Wasiwasi: Sakata la Gwajima lisipotatuliwa ifikapo alfajir, sidhani kama kuna barabara itapitika, tahadhari ichukuliwe mapema

    Sawa pambana ila it wont change the fact kwamba Samia hana uwezo wa kuongoza nchi. Ameshindwa muda mrefu sio makusudi ila uwezo wake wa kufikiri na kuchambia mambo ni mdogo sana. Ana ishi kiswahili Swahili ana deal na pet issue without delivery spirit
  12. Mwanga Mkali

    Wasiwasi: Sakata la Gwajima lisipotatuliwa ifikapo alfajir, sidhani kama kuna barabara itapitika, tahadhari ichukuliwe mapema

    Mama kakata tamaa wakati huohuo anahofu na wakati huohuo anajipa moyo she is in mixed feeling mode.... Ila kiukweli siwezi kupoteze kura yangu kuichagua hii shida ituharibie nchi tena. Enough is Enough
  13. Mwanga Mkali

    PreGE2025 Sioni Watanzania wa kuzuia uchaguzi mkuu hakuna

    Kuna mtu wa G55 aliulizwa maana ya No reform No election akajiuma uma na ukimuona unaweza kudhani huwa ana akili kumbe ni shida tu. 1. Bila marekebisho hakuna uchaguzi ni dhana pana ambayo ina beba jumbe nyingi ndani yake moja wapo ni kudai kuondoa nguvu ya mmoja wa wagombea yaani Rais kuwa na...
  14. Mwanga Mkali

    Kiwanda cha Silaha cha Rwanda. Wapo mbali sana hawa jamaa

    Ndio waziri wa ulinzi hata binocular inashikwaje hajui... Kuweka mama zetu kwenye hizi position kiushoga ni janga. Taaluma tu ya kijeshi hana sidhani hata kama alipitia mafunzi ya awali alipoingia kwenye uwaziriwa ulinzi. Ndio utegemee kuona matokeo chanya!! Eeeh Mungu shuka
Back
Top Bottom