Recent content by mwandikitabu

  1. mwandikitabu

    Je, ni lazima Wakimbiza Mwenge Tanzania wawe kutoka CCM pekee na wakimaliza baadae waje Kuteuliwa kuwa Viongozi?

    Mchakato wa kuwapata wakimbiza mwenge Ni Siri,mafunzo yao Ni Siri,ukiachilia mbali kulindwa kwa umakini mkubwa lakini pia kwa kiasi kikubwa hauwashirikishi wananchi wote,wana ccm wamejimilikisha mwenge wa uhuru,halafu anatokea mtu anasema "mwenge ni wa watanzania".Mwenge unatumika Kama kichaka...
  2. mwandikitabu

    Mkulima aliyeshika Air bus sasa kuilipa Tanzania fidia ya mamilioni ya dola!

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni ,hii ni kutokana na maamuzi ya yeye kulipwa fidia yalifanyika hapa katika ardhi mama Tanzania.
  3. mwandikitabu

    GE2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

    Kwa mazingira tuliyonayo hayaoneshi Kama kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.Kinachofanyika Sasa nchini Ni Kama kufanya riadha isiyo na pa kuanzia Wala sehemu ya kuishia,hakuna mwamuzi anayeweza kutenda haki na ndiyo maana watu wengi wanafikiri kwa hakika kuwa JPM atashinda kwa kishindo si kwa...
  4. mwandikitabu

    GE2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

    Kwa nijuavyo Mimi mtu hawezi kuzungumza Jambo pasi na kulifanyia utafiti kinyume chake Ni kujidanganya.Nafikiri mbali Kama watanzania wataamua kipa ccm ushindi wa kishindo hayo Ni maamuzi yao na dunia haitashangaa hata kidogo kwa kuwa dunia kwa Sasa inakimbia kuelekea mapinduzi makubwa ya...
  5. mwandikitabu

    Kwanini CHADEMA wanateseka na hukumu ya mahakama ya Gauteng?

    Siyo sahihi,kazi ya cdm ilikuwa ni kujaribu kuonyesha umma sababu za msingi za kukamatwa au kushikiliwa kwa ndege yetu.
  6. mwandikitabu

    TUNDU LISSU: Kuporwa kwa mafao ya Wafanyakazi ni dhambi ya Bunge au tunalishwa matango pori?

    Umeongea vyema mkuu,watu wenye fikra yakinifu na wenye mtazamo chanya tuligundua mapema Sana kwamba hii ni janja ya serikali ya chama Cha mapinduzi kuwahadaa watumishi ambao Kila kukicha hawana matumaini na kesho yao kabisa katika ardhi ya mama Tanzania.Siyo haya tu tunayoyashuhudia, Bali Kuna...
  7. mwandikitabu

    Mifuko imeamua kuwadhulumu watumishi kwa kutumia kalamu na kanuni

    Kama ni kiinua mgongo inabidi kihusishe na wabunge wetu watukufu pale wanapostaafu ubunge nao wapewe hiyo 25% na inayobaki wapewe taratibu.
  8. mwandikitabu

    Meya wa Manispaa ya IRINGA Alex Kimbe (CHADEMA) amekamatwa na TAKUKURU

    Sawa,lakini nakumbuka mwalimu wangu aliniambia kuwa mpokeaji na mtoaji wa rushwa wote wanamakosa,swali langu je,na yule aliyetoa na yeye amekamatwa au? #Tanzania hakuna haki.
  9. mwandikitabu

    Rais Magufuli afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri. Mwijage na Tizeba nje, Waitara ndani

    Kwa waitara nilitegemea ingetokea Kama ilivyotokea.Time Will tell us.
  10. mwandikitabu

    Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

    Wapinzani so wanannlwa au?
  11. mwandikitabu

    Mr.HUSSEIN BASHE

    Got it somewhere
  12. mwandikitabu

    Nyanya zinatuozea hapa Iringa,hakuna wanunuzi,tunaomba malori ya wanajeshi yapite na hapa

    Ndugu zangu wanapaluhengo mpo,wazee wa ndiyo kwa ccm always.
  13. mwandikitabu

    Rais Magufuli akagua magari ya Jeshi yatakayobeba Korosho iwapo Wanunuzi hawatanunua

    Kwa mwendo huu Kuna watu watahama nchi hii na kubaki wanaimba " Bora kuwa mbwa ulaya" binafsi siungi mkono moja kwa moja hizi zinazoitwa juhudi za kumkomboa mkulima wa korosho kule ntwara.Kwani kesho tu unaweza kusikia majibu tofauti Tena kutoka kwa mtu tofauti.
  14. mwandikitabu

    Serikali ya wanyonge imulikeni haraka PSSSF kabla hawajawavuruga watumishi na Serikali. Kanuni yao haivumiliki

    Ipo siku atakuja kuunganisha benki zote na kuwa benki moja,alafu tunaendelelea kutazama tu.
Back
Top Bottom