Njaa kali ni shida sana.
Yaani mtu analia hadharani kisa hajakaribishwa kwenye meza ya kalamu kipaumbele kilikuwa ni tumbo,nipewe chochote kitu na wakija kwa wananchi wanawadanganya,kila upande focus kubwa ilikuwa ni matumbo yao mkono uende kinywani sio kuwatumikia Wananchi. Na hili limekuwa...
Kwa hii sentensi yake moja tu,huyu jamaa ni mtu wa hovyo sana,anasema "Makamu Mwenyekiti alirudishiwa passport yake baadq ya kuongea na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa,ila yeye anasema alirudishiwa na Mwanasheria wa Chama,kwa hiyo issue sio Watanzania ila yeye Lema hajapewa passport na mkurugenzi...
Mbagala ya watu kuingilia dirishani kugombania magari Vs Mbagala ya watu kupanda mwendokasi yenye full air condituon,Unasemaje hapo Kafulila,ubora wa watu kuliko ubora wa vitu?
Nilikuwa nawahi kanisani kumuangalia Maria akisoma somo,nami siku moja nilipenda nioe mzungu niwe na mtoto kama Maria,ningependa siku tukae na Maria tuzungumzie nchi na taifa letu,sisi wamoja,pokea hizo za ICC.
Hivi leo ACT wanaojiita Wajamaa na Wazalendo leo wanapigania Uzanzibar! kule Zanzibar,kwa nini wasipiganie na Utanganyika huku Tanganyika,ila wamekaa kimya kwa upande wa Tanganyika nao wanaiita Tanzania,sasa Tanzania kwa sasa ni muungano wa Tanganyika na nchi gani ?
Montevideo Convention ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.