Recent content by Mwande na Mndewa

  1. Mwande na Mndewa

    The countdown: Updates kuelekea D9 special thread

    Kazoea Usultani wao wa Oman.
  2. Mwande na Mndewa

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Ni kweli amefanya mengi yaliyomshinda Mwalimu Nyerere, 1. Udini 2.Kuvunja Muungano 3.Kuuza Bandari 4.Kuwapa Waarabu waitunze misitu yetu yote ya Tanzania 5.Kufukuza Wamasai kutoka Ngorongoro kuwapeleka Tanga. 6.Kuwarudisha Waarabu Zanzibar 7.Kuuza Gesi 8.Kuuza migodi ya madini 9.Kuuza...
  3. Mwande na Mndewa

    Mzee pekee mwenye uhalali wa kushauri na kuliokoa Taifa la Tanzania ni Mstaafu Joseph Sinde Warioba

    Mwenye uhalali wa kulikosoa na kulisahihisha Taifa kwa sasa ni Mzee Joseph Sinde Warioba kwa maana hafungamani na mtu yeyote, chama chochote na koleo anaita koleo na kijiko anakiita kijiko, Mungu akupe maisha marefu Mzee Warioba.
  4. Mwande na Mndewa

    Ni kama kuna Hali ya kuchanganyikiwa kwenye kile Chama

    Karma,Novena vimeanza kujibu,yule Mzee aliyeenda nyumbani kwa Baba wa Taifa kumsema vibaya kumbe Baba wa Taifa anamsikia dirishani,wengine wanaita press halafu hawatokei wanakatazana wenyewe kwa wenyewe,
  5. Mwande na Mndewa

    Katiba Mpya;Mahakama ipewe mamlaka kuhoji Tume ya uchaguzi na matokeo ya Urais.

    1. Matokeo ya Raisi yahojiwe Mahakamani kama yaliyo ya Diwani na ubunge.kwa kuwa wagombea wa urais wanaweza kufanya makosa ya kiuchaguzi. 2. Tume ihojiwe na Mahakama inapo enda kinyume ktk kutimiza majukumu yake. 3. Itungwe sheria ya kuwezesha INEC kufanya Kazi za kusimamia uchaguzi Kwa sasa...
  6. Mwande na Mndewa

    Tajiri Rostam kakatazwa asiongee. Je, Polepole anaelekea kushinda hili game!?

    Tajiri Rosti akiwa na madaktari wawili akitaka kuongea ghafla mahojiano yakaota mbawa,nini Maana yake!!?
  7. Mwande na Mndewa

    Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    Picha inaongea mengi
  8. Mwande na Mndewa

    Aren't: Nchimbi be careful

    Nchimbi mwenzake Fred Lowassa
Back
Top Bottom