Recent content by Mwande na Mndewa

  1. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Hatukumlinda Polepole sasa tumlinde Yuda

    Enzi zile Polepole akifanya hikihiki tuliambiwa mengi sana, wengine walisema maigizo,wengine walisema ni shujaa tuliyemsubiri muda mrefu lakini hatukumlinda, kwa kuwa Yuda amekuja kuomba msaada kupata nguvu ya Umma basi tuache maneno tumlinde,asijekupotea kama Polepole ndio tujilaumu hatukumlinda.
  2. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Nchimbi aomba nguvu ya Umma kupata katiba Mpya

    Ndugu Nchimbi kaja kuomba nguvu ya umma isaidie kupatikana kwa Katiba Mpya, hili inamaana viongozi na serikali waeshakwama, Je ni nani anakataza isipatikane katiba Mpya? Mtu huyu ana nguvu kiasi gani? Hii ni wake up call,Katiba haitopatikana bila mnyukano mkali na mtu huyu asiyependa katiba...
  3. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Watanzania haawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja,kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania hawana msimamo mmoja?

    Watanzania wote hawana msimamo mmoja, ila CCM ina msimamo mmoja. Lazima tujitizame, kwanini CCM wote wana mtizamo mmoja? na kwa nini Watanzania wote hawana mtizamo mmoja?.
  4. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Aaaaaaah uyoooooooo aaaaaah shukaaaaaaaaa
  5. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Rais mstaafu wa Nigeria Generali Babangida ana kikosi chenye msafara wa magari mia moja,akipita Lagos au Abuja shughuli zinasimama kwa masaa kadhaa hata Rais wa Nigeria anakaa pembeni kusubiri vikosi kwenye msafara wa Babangida vipite,tukifika hapo kwa nchi yetu itakuwa hatari sana,nchi...
  6. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Pale Nigeria,hauwezi kusikia Boko Haram wamepiga Lagos,sababu wafadhili wao wapo hapo Lagos,Tukifikia hapo kuwa na vikundi,vikosi, vya watu binafsi,militant ni jambo la hatari sana kwa Taifa la Tanganyika.
  7. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Serikali imkamate Sheikh Mwaipopo, acheni double standards. Haya mambo ndio yanachochea chuki na kuligawa Taifa

    Mwenye uhalali wa kumiliki vikosi ni Captain wa jeshi,na RPC sasa yeye Mwaipopo anaweza vipi kumiliki vikosi?
  8. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Tanzania inaelekea sehemu mbaya kama tunaruhusu vitu hivi

    Mwenye uhalali wa kumiliki vikosi ni Captain wa jeshi,na RPC sasa yeye Mwaipopo anaweza vipi kumiliki vikosi?
  9. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Vikundi maalumu vya Kijeshi visivyo rasmi ni hatari

    Mwenye uhalali wa kumiliki vikosi ni Captain wa jeshi,na RPC sasa yeye Mwaipopo anaweza vipi kumiliki vikosi?
  10. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Mwenye uhalali wa kumiliki vikosi ni Captain wa jeshi,na RPC sasa yeye Mwaipopo anaweza vipi kumiliki vikosi?
  11. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Baada ya kuharibu kote huko, sasa anaelekea taratibu kutuharibia amani yetu. Amani ambayo kila siku hujidai kuilinda kwa nguvu zote. Unaweza vipi kusema unailinda amani, huku mkimuacha Sheikh Mwaipopo atambulishe vikundi vya mbwa mwitu na chui weusi? Au walikuwepo tangu ugaidi wa Kibiti...
  12. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania "Lema hajaelewa somo" Tundu Lissu

    "LEMA HAJAELEWA SOMO" TUNDU LISSU "Huyu jamaa mbona nywele ziko safi,hajaelewa somo!?" Hajaelewa zilisikika sauti za wafuasi wa Chadema, Lema akazuga mkuu mbona unagain weight,meseji sent,je huyu jamaa asiyeelewa somo ni double agent,huyo jamaa ni nani ni Bwana Lema aliyetokea kitanashati...
Back
Top Bottom