Recent content by Mwande na Mndewa

  1. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Lema amefanya jambo jema, japo....?

    Huyu jamaa na Mbowe wanawaangusha sana Kaskazini
  2. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Lema ni moja ya wanasiasa wa hovyo sana nchi hii imepata.

    Njaa kali ni shida sana. Yaani mtu analia hadharani kisa hajakaribishwa kwenye meza ya kalamu kipaumbele kilikuwa ni tumbo,nipewe chochote kitu na wakija kwa wananchi wanawadanganya,kila upande focus kubwa ilikuwa ni matumbo yao mkono uende kinywani sio kuwatumikia Wananchi. Na hili limekuwa...
  3. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Lema ni moja ya wanasiasa wa hovyo sana nchi hii imepata.

    Kwa hii sentensi yake moja tu,huyu jamaa ni mtu wa hovyo sana,anasema "Makamu Mwenyekiti alirudishiwa passport yake baadq ya kuongea na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa,ila yeye anasema alirudishiwa na Mwanasheria wa Chama,kwa hiyo issue sio Watanzania ila yeye Lema hajapewa passport na mkurugenzi...
  4. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Emmanuel ni neno la Kiebrania maana yake ni Mungu yu pamoja nasi Isaya 8:8

    Manabii walihubiri kwamba nyakati za mbele mataifq yote yamtafahamu Bwana na kumkimbilia Isaya 42:6;45:14
  5. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo adai kupokea vitisho kutoka kwa Mwigulu

    Dah bongo inachekesha sana https://www.facebook.com/share/v/1BSbcPJmY4/?mibextid=wwXIfr Bongo nyoso
  6. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Utajiri wa taifa lolote duniani si vitu, ni ubora wa watu wake

    Mbagala ya watu kuingilia dirishani kugombania magari Vs Mbagala ya watu kupanda mwendokasi yenye full air condituon,Unasemaje hapo Kafulila,ubora wa watu kuliko ubora wa vitu?
  7. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ishengoma: Maandamano ya Oktoba 29 "Sisi tulichokifanya yalikuwa ni mapinduzi. Ushahidi ninao

    You better warch your back,Dudubaya alishasema huyo ni kijana wa Abdul.
  8. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Yuda alizungumza code kwa Maria lakini hatukumuelewa

    Nilikuwa nawahi kanisani kumuangalia Maria akisoma somo,nami siku moja nilipenda nioe mzungu niwe na mtoto kama Maria,ningependa siku tukae na Maria tuzungumzie nchi na taifa letu,sisi wamoja,pokea hizo za ICC.
  9. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever: Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar

    Usimchokoze jirani wakati nyumba yako ya kioo,atakupiga mawe avunje nyumba yako.
  10. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania "You Must support the ANC only so far as it delivers the goods"Nelson Mandela.

    If the ANC does not deliver the goods,you must do to it what you have done to the apartheid regime.
  11. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Kama Zanzibar ni nchi huru,Je Tanzania ina muungano na nchi gani? Rejea katiba ya Zanzibar.

    "leo ndio mnakumbuka Utanganyika wenu,mlikuwa wapi siku zote" Jussa
  12. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Kama Zanzibar ni nchi huru,Je Tanzania ina muungano na nchi gani? Rejea katiba ya Zanzibar.

    Hivi leo ACT wanaojiita Wajamaa na Wazalendo leo wanapigania Uzanzibar! kule Zanzibar,kwa nini wasipiganie na Utanganyika huku Tanganyika,ila wamekaa kimya kwa upande wa Tanganyika nao wanaiita Tanzania,sasa Tanzania kwa sasa ni muungano wa Tanganyika na nchi gani ? Montevideo Convention ya...
  13. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Serikali itatoa elimu ya katiba kwa Wananchi kwa miaka mitatu August 28,2023

    Leo ni miaka mitatu tayari nadhani ni wakati muafaka kuanza mchakato wa katiba
  14. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Mapungufu yetu kama Taifa yalianzia hapa 1984 tulipobadili katiba ya Zanzibar

    Respect kwa vile Tume ya Nyalali (1991), Tume ya Kisanga (1999),iliyoleta Katiba ya Warioba.
Back
Top Bottom