Recent content by mwandandila999

  1. mwandandila999

    Nijiue ama? Kutokana na hii picha na hali yangu

    Hujamuelewa, 2008 ndipo tatizo lilipo anza mpaka Leo 2015 na sio umri wake...
  2. mwandandila999

    Kwa habari zilizonifikia, nyeti na zilizotoka jikoni kwao muda si mrefu ni kwamba.....

    Acha kujifanya nabii kwa mambo yaliyo wazi, jambo la kutafuta pesa kwa ajili ya kampeni liko wazi ktk vyombo vya Habari tangu jana,na EATV watakuwa live kuanzia saa 12:00-1:30 na huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama chetu cha CDM.
  3. mwandandila999

    Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

    Pale hapakuwa na hotuba Bali uzinduzi wa kampeni, pia hotuba si lazima iwe ya Massa kadhaa ndipo iitwe hotuba. Hotuba inaweza kuwa hata ya dk 5 yenye kuainisha malengo ni hotuba bora kuliko hotuba ya masaa iliyojaa uongo na mambo yasiyo tekelezeka.
  4. mwandandila999

    Aliyekuwa mbunge wa Mbarali atimkia ACT-Wazalendo baada ya kukatwa CCM na CHADEMA

    Nimepigwa na butwaa baada ya kusikia na kuona Mh: Moses Kirufi akitangaza tena kukihama CHADEMA baada ya cku chache zilizo pita akihama kutoka CCM na Leo amehamia A.C.T....kweli siasaaaaa
  5. mwandandila999

    Mnanikera mnaomponda Lowassa kwa hoja ya utajiri

    Mwl J.K.Nyerere mara baada ya Tanganyika kupata Uhuru aliwatangazia Watanganyika wa wakati huo wapatao million nane,Maadui zao wakuu kuwa ni watatu 1~Umaskini 2~Maradhi 3~Ujinga.Mnanikera sana mnao mponda mh; Edward Ngoyai Lowasa kuwa hafai kuwa Rais wa nchi hii kwa hoja dhaifu sana eti Lowasa...
  6. mwandandila999

    Dr. Slaa asipewe nafasi tena ndani ya CHADEMA, aachwe aende zake

    Nakuunga mkono mkuu kwa maneno mazuri na yenye busara, Mimi pia ni miongoni mwa wanao amini kuwa Dr.Slaa yu hai ndani ya CHADEMA ila kwa sasa yuko kwenye mapumnziko ya kifikra,na mda si mrefu atakuja na majibu na kutuonyesha njia ya kuifwata.Naomba tuwe na subra ya kutokuwa na maneno makali...
  7. mwandandila999

    Gratius Mkoba maneno yake mmmmmmm!!!

    Tangu nilipo msikia Jana Rais wa chama cha wafanyakazi TUCTA na Mwenyekiti wa chama cha walimu nchini C.W.T.alipo sema "UKIKATA GOGO JUU YA MWINUKO BASI LIKIWA LINAPOLOMOKA KUELEKEA BONDENI BASI UTHITHUBUTU KULIZUIA"Nimebaki nikitafakari kama je CHAMA CHA MWANZO (CCM) wamelisikia na kulielewa!!!!?
  8. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Naaam hilo ndilo ombi langu kwake
  9. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Sio lazima uchangie katika hoja ya msingi kama hii
  10. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    bali kuungana na Lowasa kisha wakashindwa ila namuomba kuwa alichokiona hakipo bali ni ushindi kwa Chadema na ukawa kwa ujumla,kwani ukawa bila Dr Slaa ni shida nyingine anapaswa kulijua hilo na kuacha hisia za kushindwa bila kuingia vitani Kamanda Dr .Slaa naomba lejea kambini tuendeleze vita...
  11. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Mkuu kamanda sio mbinafusi ila anajaribu kusimamia alicho kiamini tangu mwanzo
  12. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Binafsi natambua na kukumbuka juu ya maumivu aliyo yapata,kutokana na jambo hili ila nadhani yeye ni mtumishi wa mungu atutangulize wenzie mbele yeye awe wa mwisho ktk kufanya maamuzi ....Ajue kuwa taifa kwanza sisi baadaye...Bado namuomba ndugu yangu na mpendwa wangu Dr.Slaa lejea kundini,kwa...
  13. mwandandila999

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Taarifa niliyoisikia kutoka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa wameridhia Katibu Mkuu wetu Dr Slaa, kupumzika kwa mda usio julikana. Kiukweli nimeumizwa na kusikitishwa kwa uamuzi huo wa Dr Slaa hasa nikikumbuka taabu na mateso aliyoyapata katika kukikuza na kukisimamia leo anaamua kuacha kwa...
  14. mwandandila999

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Anakaribishwa kwa mikono miwili katika jeshi la makamanda wanaojitambua....ila sababu zakuhama ni za kitoto sana huku atabaki kuwa mwanachama na hana sifa za uongozi kwakuwa katoa sababu za hovyo zisizo na mashiko.
  15. mwandandila999

    Pigo jingine kwa Team Lowassa: Christopher Ole Sendeka akana kuhama CCM

    nimekuelewa mpaka basi hayo ndo mapigo,sendeka tangu lini na wapi kuwa kambi ya lowasa????
Back
Top Bottom