Recent content by MWANAWIMA

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani anapatikana kwa kura za wananchi, sio deep state

    Hujaeleweka boss. Hizi Aina mbili zinafanyaje Kazi ili mgombea awe Raisi.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Hongera KWA kufanikiwa kufika kiwandani. Naomba kujua kama ulifanikiwa kufatilia je! Hadi sasa BADO wanapima nyama tu na vitu vingine kama Ngozi, matumbo na kwato hawamlipi Supplier? Vipi kuhusu bei za MBUZI kama zamani 2021 alipotoa hoja hii Mr Jabel ilikua Kati ya 30-70 je! KWA SASA hali bei...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Muungwana na mwenye mapenzi mema na watu aliweka wazo la Biashara hapa na mchanganuo wake ili atakayeona linafaa alifanyie Kazi. Hoja yangu kwako kama na wewe ni muungwana weka hapa mchanganuo wa biashara yako hiyo yenye faida kubwa ya zaidi ya 360k KWA wiki mbili, unaweza ponya wengi. Karibu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Asante. Aliyefanya utafiti kea sasa stupe update hali ya Biashara hii ikoje?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

    YEHOVAH aliyewatoa Misiri katika Utumwa Kutoka 6:6 "Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;" Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  6. M

    JamiiForums Tanzania Benjamin Netanyahu asaini Mpango wa kuuvamia mji wa Rafah Kijeshi!

    Ila kweli, hata ingekua mimi ningepiga hayo maeneo kama yanatumika kumuhifadhi adui , na kama adui anajificha ktk mwamvuli wa UN na Mwanahari. Na yeyote anayemuhifadhi adui angepigwa tu. Kila mmoja ajitenge na adui ili awe salama yeye mali yake na watoto wake, bila hivyo yote yako ktk hatari.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Israel yashukiwa kufanya mazungumzo na kiongozi wa Doghmush clan, Hamas yaua kiongozi wao

    KAMA HUTAJALI NIJIBU PLS Samahani ndugu nakufuatilia ili nijifunze kitu toka kwako. Naomba kujua ni nani ndiye MUHUSIKA wa eneo linalogombaniwa Kati ya Israel na Palestine. Mataifa haya mawili yalijikutaje yakigombania eneo moja? Wayahudi walitoka wapi na Wapalestina walitoka wapi?. Habari za...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Israel yashukiwa kufanya mazungumzo na kiongozi wa Doghmush clan, Hamas yaua kiongozi wao

    Samahani ndugu nakufuatilia ili nijifunze kitu toka kwako. Naomba kujua ni nani ndiye MUHUSIKA wa eneo linalogombaniwa Kati ya Israel na Palestine. Mataifa haya mawili yalijikutaje yakigombania eneo moja? Wayahudi walitoka wapi na Wapalestina walitoka wapi?. Habari za Wakanaani, Wababeri, Warumi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Israel yashukiwa kufanya mazungumzo na kiongozi wa Doghmush clan, Hamas yaua kiongozi wao

    Katika aridhi hiyo ambayo wapalestina wanadai ni yao, ilikua yao tangu wakati GANI? Kwani mwanzoni kabisa kulikuwepo na Wakanaani ambao Ibrahim aliwakuta Hapo. Je hao Wakanaani ndio hao wapalestina?, Baada ya wayahudi kwenda Misiri walirudi Hapo na baadaye katka vita mabalimbali za Wababeri ...
  10. M

    JamiiForums Tanzania World reacts on ICJ rulling on South Africa against Genocide committed by lsrael on Hama

    Hakuna jipya. Wataendelea kupigwa tu. Mpaka hatua hiyo ICJ haijasema Israel wamefanya mauaji ya kimbali. Kuamuliwa kupiga wahusika wa vita ILA watoto na wanawake wasiohusika wasipigwe,hata hivyo wakijichanganya kuwa ngao israel anapitanao wote Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  11. M

    JamiiForums Tanzania World reacts on ICJ rulling on South Africa against Genocide committed by lsrael on Hama

    Hakuna jipya. Wataendelea kupigwa tu. Mpaka hatua hiyo ICJ haijasema Israel wamefanya mauaji ya kimbali. Kuamuliwa kupiga wahusika wa vita ILA watoto na wanawake wasiohusika wasipigwe,hata hivyo wakijichanganya kuwa ngao israel anapitanao wote Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta partnership wa kuanzisha kampun

    Weka mchanganuo wa biashara boss. Tuone namna ya kwenda pamoja Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kama 70% ya mkataba DP World umebadlishwa kwa kuzingatia maoni ya wenye nchi, basi wenye nchi 3, chawa wa serikali 0. Tuheshimiane siyo kutishana!

    𝐓𝐔𝐉𝐄𝐍𝐆𝐄 𝐔𝐓𝐀𝐌𝐀𝐃𝐔𝐍𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐔 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐘𝐀 𝐖𝐄𝐍𝐆𝐈𝐍𝐄 Mapema kabisa naomba nitoe tahadhari, kutofautiana mawazo au maoni kwenye jambo husika/fulani ndio utambulisho wa Binadamu wenye #akili Kama kila kitu kwenye familia,jamii au taifa kitakuwa kina sura aina moja...Kwamba anachosema baba au mama...
Back
Top Bottom