Recent content by MWANAWIMA

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

    Mzoefu please tusaidieni hali ya soko kwa sasa lipoje hapa nchini.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Minada ya Mbuzi na Kondoo kwenye mikoa hii

    Karibu Shinyanga. Minada ya Old Shy kila j.mos, Muhunze/kishapu kila Alhamis, Buhangija coner J.tano, Tinde J.tatu. Ninao mbuzi karibu tuzungumze 0764980843
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Sijafahamu wanafanyeje hasa. Ingawa nilipata taarifa kuwa Tan choice na Ynion meat Group wana mawakala wao. Hivyo ukitaka kuwauzia inabidi ukaombe kuwa supplier wao wakupe specification zao kisha hao mawakala ndio watakuwa wanakufuata kujakuchukua mzigo kulingana na spevifivation ulizopewa. Na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua Viwanda vya nyama ya mbuzi vinavyopatikana kanda ya ziwa

    Kaka habari. Hoja yako ya soko la mbuzi a.k.a vipi ulifanikiwa unisaidie pia uelewa?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua Viwanda vya nyama ya mbuzi vinavyopatikana kanda ya ziwa

    Kaka habari. Hoja yako ya soko la mbuzi a.k.a vipi ulifanikiwa unisaidie pia uelewa?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Update please, biashara ya mbuzi kwa sasa ipoje? Bei ununuaji mnadani? Bei kiwandani? UPatikanaji? Usagirishaji?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani anapatikana kwa kura za wananchi, sio deep state

    Hujaeleweka boss. Hizi Aina mbili zinafanyaje Kazi ili mgombea awe Raisi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Hongera KWA kufanikiwa kufika kiwandani. Naomba kujua kama ulifanikiwa kufatilia je! Hadi sasa BADO wanapima nyama tu na vitu vingine kama Ngozi, matumbo na kwato hawamlipi Supplier? Vipi kuhusu bei za MBUZI kama zamani 2021 alipotoa hoja hii Mr Jabel ilikua Kati ya 30-70 je! KWA SASA hali bei...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Muungwana na mwenye mapenzi mema na watu aliweka wazo la Biashara hapa na mchanganuo wake ili atakayeona linafaa alifanyie Kazi. Hoja yangu kwako kama na wewe ni muungwana weka hapa mchanganuo wa biashara yako hiyo yenye faida kubwa ya zaidi ya 360k KWA wiki mbili, unaweza ponya wengi. Karibu...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Asante. Aliyefanya utafiti kea sasa stupe update hali ya Biashara hii ikoje?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

    YEHOVAH aliyewatoa Misiri katika Utumwa Kutoka 6:6 "Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;" Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  12. M

    JamiiForums Tanzania Benjamin Netanyahu asaini Mpango wa kuuvamia mji wa Rafah Kijeshi!

    Ila kweli, hata ingekua mimi ningepiga hayo maeneo kama yanatumika kumuhifadhi adui , na kama adui anajificha ktk mwamvuli wa UN na Mwanahari. Na yeyote anayemuhifadhi adui angepigwa tu. Kila mmoja ajitenge na adui ili awe salama yeye mali yake na watoto wake, bila hivyo yote yako ktk hatari.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Israel yashukiwa kufanya mazungumzo na kiongozi wa Doghmush clan, Hamas yaua kiongozi wao

    KAMA HUTAJALI NIJIBU PLS Samahani ndugu nakufuatilia ili nijifunze kitu toka kwako. Naomba kujua ni nani ndiye MUHUSIKA wa eneo linalogombaniwa Kati ya Israel na Palestine. Mataifa haya mawili yalijikutaje yakigombania eneo moja? Wayahudi walitoka wapi na Wapalestina walitoka wapi?. Habari za...
Back
Top Bottom