Jumamosi iliyopita nilifanikiwa kufika Tanchoice. Asante Reymage, Sley na wengine wote kwa kutiana moyo. Kwa swala la upokeaji wa mzigo hadi upimaji sikuona shida yoyote. Nilikabidhi mzigo wangu alfajiri j.mosi. Utambuzi wa mifugo kulingana na alama za kila Supplier ulianza mida ya saa 1...
Karibu Shinyanga.
Minada ya Old Shy kila j.mos, Muhunze/kishapu kila Alhamis, Buhangija coner J.tano, Tinde J.tatu.
Ninao mbuzi karibu tuzungumze 0764980843
Sijafahamu wanafanyeje hasa. Ingawa nilipata taarifa kuwa Tan choice na Ynion meat Group wana mawakala wao. Hivyo ukitaka kuwauzia inabidi ukaombe kuwa supplier wao wakupe specification zao kisha hao mawakala ndio watakuwa wanakufuata kujakuchukua mzigo kulingana na spevifivation ulizopewa. Na...
Hongera KWA kufanikiwa kufika kiwandani.
Naomba kujua kama ulifanikiwa kufatilia je! Hadi sasa BADO wanapima nyama tu na vitu vingine kama Ngozi, matumbo na kwato hawamlipi Supplier?
Vipi kuhusu bei za MBUZI kama zamani 2021 alipotoa hoja hii Mr Jabel ilikua Kati ya 30-70 je! KWA SASA hali bei...
Muungwana na mwenye mapenzi mema na watu aliweka wazo la Biashara hapa na mchanganuo wake ili atakayeona linafaa alifanyie Kazi.
Hoja yangu kwako kama na wewe ni muungwana weka hapa mchanganuo wa biashara yako hiyo yenye faida kubwa ya zaidi ya 360k KWA wiki mbili, unaweza ponya wengi. Karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.