Hongera KWA kufanikiwa kufika kiwandani.
Naomba kujua kama ulifanikiwa kufatilia je! Hadi sasa BADO wanapima nyama tu na vitu vingine kama Ngozi, matumbo na kwato hawamlipi Supplier?
Vipi kuhusu bei za MBUZI kama zamani 2021 alipotoa hoja hii Mr Jabel ilikua Kati ya 30-70 je! KWA SASA hali bei...
Muungwana na mwenye mapenzi mema na watu aliweka wazo la Biashara hapa na mchanganuo wake ili atakayeona linafaa alifanyie Kazi.
Hoja yangu kwako kama na wewe ni muungwana weka hapa mchanganuo wa biashara yako hiyo yenye faida kubwa ya zaidi ya 360k KWA wiki mbili, unaweza ponya wengi. Karibu...
YEHOVAH aliyewatoa Misiri katika Utumwa
Kutoka 6:6
"Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;"
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Ila kweli, hata ingekua mimi ningepiga hayo maeneo kama yanatumika kumuhifadhi adui , na kama adui anajificha ktk mwamvuli wa UN na Mwanahari. Na yeyote anayemuhifadhi adui angepigwa tu.
Kila mmoja ajitenge na adui ili awe salama yeye mali yake na watoto wake, bila hivyo yote yako ktk hatari.
KAMA HUTAJALI NIJIBU PLS
Samahani ndugu nakufuatilia ili nijifunze kitu toka kwako.
Naomba kujua ni nani ndiye MUHUSIKA wa eneo linalogombaniwa Kati ya Israel na Palestine.
Mataifa haya mawili yalijikutaje yakigombania eneo moja?
Wayahudi walitoka wapi na Wapalestina walitoka wapi?.
Habari za...
Samahani ndugu nakufuatilia ili nijifunze kitu toka kwako.
Naomba kujua ni nani ndiye MUHUSIKA wa eneo linalogombaniwa Kati ya Israel na Palestine.
Mataifa haya mawili yalijikutaje yakigombania eneo moja?
Wayahudi walitoka wapi na Wapalestina walitoka wapi?.
Habari za Wakanaani, Wababeri, Warumi...
Katika aridhi hiyo ambayo wapalestina wanadai ni yao, ilikua yao tangu wakati GANI?
Kwani mwanzoni kabisa kulikuwepo na Wakanaani ambao Ibrahim aliwakuta Hapo. Je hao Wakanaani ndio hao wapalestina?, Baada ya wayahudi kwenda Misiri walirudi Hapo na baadaye katka vita mabalimbali za Wababeri ...
Hakuna jipya. Wataendelea kupigwa tu. Mpaka hatua hiyo ICJ haijasema Israel wamefanya mauaji ya kimbali.
Kuamuliwa kupiga wahusika wa vita ILA watoto na wanawake wasiohusika wasipigwe,hata hivyo wakijichanganya kuwa ngao israel anapitanao wote
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Hakuna jipya. Wataendelea kupigwa tu. Mpaka hatua hiyo ICJ haijasema Israel wamefanya mauaji ya kimbali.
Kuamuliwa kupiga wahusika wa vita ILA watoto na wanawake wasiohusika wasipigwe,hata hivyo wakijichanganya kuwa ngao israel anapitanao wote
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
𝐓𝐔𝐉𝐄𝐍𝐆𝐄 𝐔𝐓𝐀𝐌𝐀𝐃𝐔𝐍𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐔 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐘𝐀 𝐖𝐄𝐍𝐆𝐈𝐍𝐄
Mapema kabisa naomba nitoe tahadhari, kutofautiana mawazo au maoni kwenye jambo husika/fulani ndio utambulisho wa Binadamu wenye #akili
Kama kila kitu kwenye familia,jamii au taifa kitakuwa kina sura aina moja...Kwamba anachosema baba au mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.