Recent content by mwanausangi

  1. M

    Hushpuppi ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela

    vipi kuhusu mali sasa ie assets na fedha?vipi wamemfilisi au akitoka jela anakuja kuzienjoy?
  2. M

    Nusrat Hanje aibwaga CHADEMA Mahakamani kwa hoja

    hahahah we mama banaa!
  3. M

    Kibatala amhoji Nusrat Shabani Hanje kesi ya Wabunge 19 wa CHADEMA

    Kweli kuna wahenga walisema kila jambo lipe muda(muda huwa ni jibu sahihi kwa kila jambo)hakika mafuta na maji vimejitenga!
  4. M

    Kesi ya Wabunge 19 waliotimuliwa CHADEMA yaendelea Mahakamani

    Mkuu, Tuleteeni mtiririko kama kesi ya mbowe
  5. M

    Dhambi hizi zifuatazo ndizo zinaigharimu Wala Mihogo (Masikini) Yanga SC Mechi za Kimataifa

    hivi mnavyosema Yanga inununua mechi ndo inashinda!nakua sielewi kabisaa!maana nyie MAKOLO mnasema yanga haina hela, hapo hapo mnasema inanunua mechi??ina hela gani za kununua mechi 45??je na MAKOLO pia tuliwanunua tunavyowafunga??
  6. M

    Eng. Hersi hana uchungu na Yanga, atolewe kwa nguvu

    Hao mashabiki uchwara tuuu!mashabiki walioijua yanga kwenye kideo cha azam ndo wanaropokaropoka!ila mashabiki tunaoijua yanga na kujua mpira!tunaelewa soka lina matokeo matatu!hakuna jipya
  7. M

    Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

    MAYELE waweke haoo kama alivyofanya canavaro 2014
  8. M

    Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

    watakufa haooo!wanasumbua mahakama tuuuu
Back
Top Bottom