Uko sahihi. Wapo pia wafia chama japo pia walio serious ila wanabezwa. QUOTE="Masanva Aya, post: 32864294, member: 381268"]
Mimi nimeanza kujua maana ya TISS miaka ya hapa baada ya Baba wa taifa kututoka, kabla ya hapo, hawa watu huwajui ila wapo, na cha ajabu siku hizi wanatajwa hadharani na...