Samahani mkuu Yahwew si JEHOVA kwa kiswahili bali hili jina lilianza kutumiwa na msomi mmoja wa kidini enzi katika kutafuta jina halisi la Mungu,kwani musa alipomuuliza Mungu jina lako nani alilishusha jina Lake katika maandishi ya herufi 4 zisizo na viunganishi,EL ni jina halisi laMungu kwa...
ISRAEL ni taifa teule na takatifu mbele za Mungu ila waisrael halisi makabila 10 walichukuliwa utumwani na hawajarudi waliobakia ndo hao asili ya Ethiopia ila uwaonao akina Netanyahu ni wahuni tu waliletwa pale na mawakala wa shetani wala sio waisrael
Huwezi kufundisha mbuzi kucheza mziki....watu wengi ni wajinga mno wao hushabikia Israel wakijua ndo Israel ya musa...hutaweza kuwafundisha wakaelewa maana hawajafunuliwa na Mungu
Rafiki yangu usisome habari za vitabu vya kimagharibi na ukaweka kichwani Kwa gundi.....aliemaliza vita ni Russia,pindi vita ndo inaenda kutulia USA ndo akadondosha nuke,pia kumbuka awali lengo halikuwa kuzidondosha japan.
Hak
Hakuna kitakachobadilika mfa maji haishi kutapatapa,misaada mingapi ilikuja Kwa mbwembwe.Marekani anajivua nguo mwenyewe Bora aibu ndogo kuliko kung'ang'ania ukaishia kupata aibu zaidi
Hii vita ni kati ya wana wa mungu na shetani na washirika wake....tuupinge ushoga bila ya kujali dini zetu....kumwaga damu hata wana wa Israel walimwaga sana damu walipokuwa safarini na baada ya kufika
Ufaransa, Belgium, Canada na USA ndio chanzo cha umasikini wa Afrika wanafadhili ugaidi na kuwafadhili viongozi mbumbumbu wenye kuitikia ndio ndio ndio mkuu ili wapore vyema rasilimali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.