Changamoto hiyo ipo pia wilaya ya ukerewe labda kwakuwa ni kisiwa viongozi wetu wanaogopa kuvuka maji lakini tunawakaribisha waje kututembelea mara kwa mara nasi tujivunie uwepo wao
Sehemu nzuri ya kuishi ni ukerewe
Hali ya hewa safi
Ukarimu kwa wageni
Mandhari ya kuvutia
Samaki wa kila aina
Vivutio vya asili kama jiwe linalocheza
Maji ya ziwa victoria
Viwanja vya kuishi na mengine mengi
Karibuni ukerewe
Akimalizana na huyo amgeukie Manager wa TANESCO wilaya ya Ukerewe. Tangu juzi usiku wilaya nzima ipo gizani ndo wamemaliza kuuleta saa moja hii ya jioni.
Yaani siku mbili mfululizo wilaya haikuwa na umeme Kiasi kwamba shughuli zote zinazotegemea nishati ya umeme zilikwama na kufanya watu...
Nani kuibuka kidedea kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la ukerewe.
Mchakato wa upigaji kura umemalizika na sasa kinachosubiriwa ni wagombea kusaini matokeo na mshindi kutangazwa.
Taaarifa zaidi kukujia hivi punde
UPDATES
aliyepita kura za maoni...
Jumla ya visiwa ni 38 kati ya hivyo,15 vinatumika kama makazi ya kudumu ya watu. Vilivyosalia baadhi vinatumika kama makazi ya muda kwaajili ya shughuli za uvuvi na vingine ni vidogo vidogo havikaliwi na watu
Katika wilaya ya Ukerewe,Ni kweli nakiri wazi kwamba hizo imani zilikuwepo lakini baada ya muingiliano wa watu kutoka makabila tofauti tofauti, imani hizo zimepungua kwa asilimia kubwa kama siyo kutokomea kabisa. Nikuhakikishie tu kwamba kwa sasa hali ni shwari, watu wako bize zaidi kuchapa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.