Hivi kuna Wilaya inaipiku Liwale kutotembelewa na Viongozi wa Kitaifa?

DustBin

JF-Expert Member
Jun 3, 2021
544
558
Ni matumaini yangu mu wazima..!?

Hizi wilaya zetu pamoja na changamoto za miundombinu ya barabara kuna ulazima wa viongozi wa kitaifa kufanya ziara ikiwezekana mara baada ya mara. Lakini hali ikiwa hivi kama ilivyo huko wilayani Liwale inaleta shida katika utendaji wa baadhi ya watumishi wa ngazi za juu katika halmashauri. Hufanya kazi kiholela kwa kujua viongozi hawawezi fika huko...!

Jambo hili ni huko Liwale tu au kuna wilaya zingine zina changamoto hii??
 
Ni matumaini yangu mu wazima..!?

Hizi wilaya zetu pamoja na changamoto za miundo mbinu ya barabara kuna ulazima wa viongozi wa kitaifa kufanya ziara ikiwezekana mara baada ya mara. Lakini hali ikiwa hivi kama ilivyo huko wilayani Liwale inaleta shida katika utendaji wa baadhi ya watumishi wa ngazi za juu ktk halmashauri. Hufanya kazi kiholela kwa kujua viongozi hawawezi fika huko...!

Jambo hili ni huko Liwale tu au kuna wilaya zingine zina changamoto hii??
Changamoto hiyo ipo pia wilaya ya ukerewe labda kwakuwa ni kisiwa viongozi wetu wanaogopa kuvuka maji lakini tunawakaribisha waje kututembelea mara kwa mara nasi tujivunie uwepo wao
 
Changamoto hiyo ipo pia wilaya ya ukerewe labda kwakuwa ni kisiwa viongozi wetu wanaogopa kuvuka maji lakini tunawakaribisha waje kututembelea mara kwa mara nasi tujivunie uwepo wao
Mmhh mi nilijua JPM alivoipa kipaumbele Mza na wilaya zake zingekua neemani. Ina maana Mzee baba hakuwahi fika ukerewe miaka yote hiyo???
 
Mkuu kuhusu wilaya ya liwale kutokutembelewa na top officials Hilo nalikubali ,ni muda sasa Niko huku lakini sijawahi kuona hata waziri wa maji kaja kuitembelea wilaya yetu,so sad

Lakini kuhusu viongozi wa wilaya kufanya maamuzi mabaya au kufanya ulegevu eti kisa tu hakuna top government official atawatembelea Hilo sikubaliani nalo,wilaya yangu inachapa kazi kwelikweli,nakumbuka enzi za kina Justine Monko akiwa mkurugenzi wangu,jamaa alikuwa anajituma Sana,na Hadi Leo hii viongozi wangu wanajituma Sana tu.
 
Mkuu kuhusu wilaya ya liwale kutokutembelewa na top officials Hilo nalikubali ,ni muda sasa Niko huku lakini sijawahi kuona hata waziri wa maji kaja kuitembelea wilaya yetu,so sad

Lakini kuhusu viongozi wa wilaya kufanya maamuzi mabaya au kufanya ulegevu eti kisa tu hakuna top government official atawatembelea Hilo sikubaliani nalo,wilaya yangu inachapa kazi kwelikweli,nakumbuka enzi za kina Justine Monko akiwa mkurugenzi wangu,jamaa alikuwa anajituma Sana,na Hadi Leo hii viongozi wangu wanajituma Sana tu.
Hahaahhaaa bwashee kama wewe ni mtumishi hapo unaweza kusema viongozi wako hawajitumi?? By the way nimeitolea Liwale mfano, lakini Wilaya za namna hiyo bila shaka zitakua nyingi. Suala la viongozi wa kitaifa kutozuru maeneo hayo ni sababu mojawapo za kupelekea uholela ktk utendaji wa viongozi wa halmashauri. Kuthibitisha hili niambie ni mwaka gani Liwale ilipata hati safi kutoka kwa CAG??
 
Ni matumaini yangu mu wazima..!?

Hizi wilaya zetu pamoja na changamoto za miundo mbinu ya barabara kuna ulazima wa viongozi wa kitaifa kufanya ziara ikiwezekana mara baada ya mara. Lakini hali ikiwa hivi kama ilivyo huko wilayani Liwale inaleta shida katika utendaji wa baadhi ya watumishi wa ngazi za juu ktk halmashauri. Hufanya kazi kiholela kwa kujua viongozi hawawezi fika huko...!

Jambo hili ni huko Liwale tu au kuna wilaya zingine zina changamoto hii??
Wakiacha Ushirikina na Majungu watatembelewa kila Siku tu na Maendeleo watayapata kwa haraka.
 
Back
Top Bottom