USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Mh.waziri nilimsikia juzi Mh. Rais akikutaja wakati akikuapisha kwamba unakimbia maamuzi na kuyakwepakwepa lakini nikutie moyo kuwa bado wizarani kwa maksudi naomba usome hapa.
Sisi wakazi wa jiji la Dar hususani tunaohudumiwa na kituo cha Kibamba kama sub-zone ya mkoa tumechoka tena tumechoka kukatiwa umeme kila siku kama vile kuna mgao, tumeunguziwa vitu maana anayekata ni kama anachezea switch vile kila siku kama jana.
Maeneo ya Mbezi Louis, Makabe, Kibamba, Msingwa, Temboni hadi Kimara ni kero tupu kila siku. Tumesema sana tumetoa sana taarifa tumepiga sana simu makao lakini mchezo ni ule ule tu hakuna anayejali.
Tunaomba kuwa pamoja na kuchelewa kutoa maaamuzi ila hili jitahidini maana tangu Oktoba umeme umekuwa kitu cha anasa.
USSR
Sisi wakazi wa jiji la Dar hususani tunaohudumiwa na kituo cha Kibamba kama sub-zone ya mkoa tumechoka tena tumechoka kukatiwa umeme kila siku kama vile kuna mgao, tumeunguziwa vitu maana anayekata ni kama anachezea switch vile kila siku kama jana.
Maeneo ya Mbezi Louis, Makabe, Kibamba, Msingwa, Temboni hadi Kimara ni kero tupu kila siku. Tumesema sana tumetoa sana taarifa tumepiga sana simu makao lakini mchezo ni ule ule tu hakuna anayejali.
Tunaomba kuwa pamoja na kuchelewa kutoa maaamuzi ila hili jitahidini maana tangu Oktoba umeme umekuwa kitu cha anasa.
USSR