Recent content by mwanatanganyika

  1. M

    John Mnyika anastahili kuwa mwanasiasa bora 2012

    Naic hata hon.j makamba alitaka onesha ukomavu wa kisiasa na kutuwakilisha vyema vijana bila kujali itikadi ya chama ila akabadilishwa mwelekeo baada ya kupewa u naibu waziri..........:mad:
  2. M

    John Mnyika anastahili kuwa mwanasiasa bora 2012

    Ndugu wana JF, Kwa upande wangu nimemchagua ndugu JJ MNYIKA kuwa mwanasiasa wangu wa mwaka 2012 kwa kuwa ameonyesha ukomavu wake mkubwa kwenye siasa na kuwafikia wananchi wake kwa karibu na kutambua matatizo yoa na kuwapigania pia mfano mzuri ni kuhusu hujuma za TANESCO na lile la kiwanda cha...
  3. M

    Aliko Tundu Antipas Lissu

    jamani kwa yeyote mwenye taarifa yu wapi mbunge machachari wa chadema tindu lissu?kwa kumbukumbu zangu hata armeru sijamuona
  4. M

    Profesa Jay

    True mkuu mwenyewa fan wake ila hapa big no
  5. M

    Sababu hamsini za Lowassa kuwa mgombea wa CCM 2015

    Kaka sababu no.1,3,4,5,6,9,10 zinaweza mfanya awe raisi ila ya 2 ndo inamwalibia kila kitu ukiongeza na ya 13 uwiii
Back
Top Bottom