ni kweli iwe..........self evaluationFor you not for all.......
penye udhia penyeza rupia...............Naic hata hon.j makamba alitaka onesha ukomavu wa kisiasa na kutuwakilisha vyema vijana bila kujali itikadi ya chama ila akabadilishwa mwelekeo baada ya kupewa u naibu waziri..........😡
Nape Nnauye
Nape Nnauye
Ona jinsi ubongo wako ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri, unafikiri dunia nzima ni usiku muda huu?
Btw, muulizeni CIA wenu Ben kama Zitto ana account zaidi ya hiyo iliyo verified hapa JF, na kama anayo awaambie ni ipi.
mkuuu nimeweka bila upendeleo hakika anaehitajika ni mmoja kati ya hao..sio kwamba wanasifa hizo.. nisinge weka hata mmoja wa ccm watu wanegelonga...so nimeamua kuweka wale ninao ona afadhali maana tukienda kwa ubora hakuna wa ccm anaefaa kuwa hapo...Ni hatari kumaliza mwaka na mibangi. Yaani na Kikwete ni kati ya viongozi bora? Hivi wewe unajua maana ya neno ubora au unaongelea uboronga? Nilipoona majina ya Kikwete na Kinana nilitaka kutapika ila nilijizuia. Hivi unaishi nchi gani? Je unafikiri kwa massaburi au mavii? Hivi hujui kuwa Kikwete ana tuhuma za ujambazi wa EPA wakati Kinana ana za kutorosha nyara? Je umetumwa au unajipendekeza ili wakujaze mabaki ya ufisadi? Je unaamini katika kile ulichoandika? Kwanini unapenda kutapisha watu? Umetumia mizania na mantiki gani kumweka hata nepi Nape Mapepe mropokaji? Ona unavyoboa unamweka hata zinzii Mwigulu Machemba! Hivi kweli wewe ni mzima au unatania? Shame on you!
mkuuu nimeweka bila upendeleo hakika anaehitajika ni mmoja kati ya hao..sio kwamba wanasifa hizo.. nisinge weka hata mmoja wa ccm watu wanegelonga...so nimeamua kuweka wale ninao ona afadhali maana tukienda kwa ubora hakuna wa ccm anaefaa kuwa hapo...
Si hekima wala haki kulinganisha mati na walio hai. Bado maelezo yako hayatoshi. Unaposhindanisha watu lazima wawe wanakaribiana kwa sifa. So bado una onus ya kuhakikisha haki.
Ndugu wana JF
Tunapokaribia kufunga mwaka wa 2012 ningependa tuchague wanasiasa bora wa mwaka 2012 kulingana na vipengele vifuatavyo... Na ingefaa sana kama MODs wangefanya POLL na ifungwe siku ya mwaka mpya na washindi watangazwe. Vipengele ni kama ifuatavyo
i) Mbunge bora wa mwaka 2012
-Tundu Lissu
-Zitto Kabwe
-Mwigulu Nchemba
-Deo filikunjombe
-David Kafulila
-J.J Mnyika
ii) Viongozi bora wa vyama vya siasa Tanzania
-Mh.Dr.J.M.Kikwete
-Mh.Dr.W.Slaa
-Mh.F.Mbowe
-Mh.Prof.Lipumba
-Mh.A.Kinana
-Mh S.Ahmed
iii) Mwanasiasa bora kijana mwaka 2012( walioko jf)
-Zitto Kabwe
-Nape Nnauye
-J.J.Mnyika
-Ben Saanane
- Juliana Shonza
iv)Waziri bora
- Magufuli
-Mwakyembe
-Kagasheki
-Muhongo
-Mgimwa
NANI WAONA ANAFAA KUIBUKA MSHINDI KWA KILA KIPENGELE?
Naombeni mods mtengeneze poll kama inawezekana...
Huu ni upuuzi mtupu hatuwezi kupoteza muda kuwapigia kura watu kama shonza ambaye jina lake ndio nimelifahamu juzi kwenye hii skendo ya ben saanane. Vile vile ni kwa kigezo gani umemweka Kikwete kwenye kiongozi bora? Na huyu Mh. Ahmed ndio nani? Sijapata kumsikia kamwe au ni mumeo? Mwigulu mchemba na Filikunjombe mavuvuzela ya magamba for what? Be serious or else you must be joking. Kwenye mawaziri bora umejitahidi japo nina wasiwasi endapo kagasheki anastahili kuwepo hapo. Mwanasiasa bora kijana hapa tanzania ni kamanda wa m4c Godbless Lema kwa mtazamo wangu lakini naona kwenye list hujamweka.
sasa mkuu nae si mwanasiasa japo za maji taka...ambae yumo JF??Shonza ni mnyama gani yarabi? Ni jina la mkeo au mshikaji wako nini? At least siko peke yangu kuliona hili.