Godfrey John Gugai, Aliyekuwa mhasibu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amejisalimisha mwenyewe katika taasisi hiyo ikiwa ni siku moja imepita tokea TAKUKURU watangaze dau nono kwa atakayempata.
Kama mmefatilia sana akaunti za Instagram za Afande Sele baada ya hukumu ya Lulu kutoka ni mtu ambaye dizain anamlaumu Marehemu ‘Kanumba’ kuzama kwny dimbwi la mapenzi na binti mdogo ‘Lulu’ ambaye anasema kwa kupindi kile alikua mdogo sana.
Upande wa Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ dizain kama kamuwakia...
Walianza kutangaza Clouds kuwa Ruge atakua Live kwny vyombo vyao ndo hao TV E wakafuata..! Na hio tarehe 25 toka wiki iliyopita Clouds wanaimba kuwa Fiesta Dar wao wametangaza leo tamasha la bure tar 25 unahisi nani mchokozi?
Nasikia leo team ya Clouds FM kama ilivyo kawaida yao ya kwenda ofisi za Wakuu wa Mikoa kukaribisha Msimu wao wa Tigo Fiesta so baada ya kufika kwa Makonda wakakuta waandishi wengine wanasubiri Press yake ambayo aliita kuwafahamisha uwepo wa Meli kubwa inayotegemea kuja siku zijazo kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.