Habari zenu wanajamii wenzangu. Mimi ni mwanamke umri miaka 32. Mwenzenu ninasumbuliwa na tatizo la kutokuwa na FURAHA. Tatizo hili limeanza miaka mingi sana nadhani tangu nikiwa mdogo sikumbuki mara ya mwisho nimefurahi lini.Kilichonifanya niweke hapa na kuomba ushauri ni baada ya kugundua week...
Mimi pia hupenda kukaa chooni zaidi ya dakika 15 karibu kila siku hasa nyakati za asubuhi nikitoka kitandani na jioni mara chache. Na huwa nakaa nikiwa katika choo cha chumbani kwangu tu, nikisafiri au nikienda ugenini SIWEZI KABISAAA. Tabia yangu ni kama ifuatavyo...nikiamka tu kitandani huwa...
Hivi kwa nini waganga wa kienyeji a.k.a wapiga ramli hawafungui/hawajengi ofisi zao maeneo ua Upanga, Masaki,Oysterbay? Wengi wao utasikia wako Mbagala,Buguruni..why?
kinaitwa HSG..Kinauma balaaaa so get prepared.Ni kipimo cha kuangalia mirija kama imeziba au ina kasoro yoyote au lah..Maumivu yake usipime mwanawane tena ukikuta mpimaji wa jinsia ya kiume acha kabisa maana ukimwambia naumia hata hajali..Wishing u luck and baby dust.
Kama TASA na WAGUMBA wanapata watoto kwa jina la Yesu Kristo sembuse kupona UKIMWI. Kwa Yesu kila jambo linawezekana. Yeremia 32:27..Tazama mimi ni BWANA,MUNGU wa wote wenye MWILI: Je! kuna neno GUMU lolote NISILOLIWEZA?..Barikiwa
Pole sana nishazitumia hizo dawa najua kasheshe yake..Pole sana mie sikubahatisha nilitumia for 6 months. Jaribu nawe mwenzangu Mungu wetu ni mwema sana atakusaidia..maana kuna wengine wakinywa mwezi 1 tu wanapata mimba. Mie bado nahangahika miaka sasa sijakata tamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.