Yeriko Amekuwa busy kutumia multiple id kuleta na kuchangia mada,jumamosi aliumbuka baada ya kusahau kuhama id, akajikuta analeta thread,akamsifu mtoa mada, kisha anajiomba contact hapo nikathibitisha madhara ya bange na gongo kwa bavicha wengi
Slaa na Mbowe hawana msaada hapo , media ipi Jamhuri? kama anataka media aitishe mkuano na waandishi wa habari......haya magazeti ya propaganda chafu hayafai, asipo fanya hivyo huyu ni mzushi na anatumka auni mgonjwa wa akili nakutuma mtoa mada umpe habari hii!
Msongo wako wa mawazo unasababishwa na tabia yako ya hofu ya usiyoyajua (fear of unknown), mimi ninatumaini mjadala wa katiba utafanikiwa sana tu, ila ile tabia ya umimi inayojengeka kwa wanasiasa mara nyingi husema ''hoja yetu ni bora kuliko ya wapinzani'' au kuamini kwamba wao ndio wanaajenda...
Mtoi=Yeriko=Saanane==uzush+siasa majitaka, juzi yeriko kaja na post halafu ana-koment mwenywe ,sasa na ww ni aina hiyo inasababishwa na mogoro wa afya ya akili, hivi wewe unahangaika na kigoma wakati kwenu lushoto CCM inapita bila kupingwa, hata balozi CDM haina mahali ulipozaliwa........lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.