Recent content by Mwananzengo50

  1. M

    Baada ya Kagame, JK alikoroga na waEthiopia

    Your take is nonsense, try not to expose your nonsense to the public, acha vijana wa bavicha ndio waendelee kujua udhaifu wako.
  2. M

    Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu

    Chadema imekufa tayari,wewe endelea kujiziba ufahamu.
  3. M

    Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu

    Chadema inakufa halafu wewe unajiziba fahamu kama Yeriko!
  4. M

    Anayeona Posho Bunge la Katiba haitoshi, afungashe Virago!

    Ha ha ha Lema sijui ana hali gani kwa posho kupigwa pini, manake yeye ndio rais wa posho!
  5. M

    WanaCHADEMA: Charity begins at home!!

    Yeriko Amekuwa busy kutumia multiple id kuleta na kuchangia mada,jumamosi aliumbuka baada ya kusahau kuhama id, akajikuta analeta thread,akamsifu mtoa mada, kisha anajiomba contact hapo nikathibitisha madhara ya bange na gongo kwa bavicha wengi
  6. M

    KITILA MKUMBO: CHADEMA inakua, CCM inasinyaa, lakini kwa kasi ndogo!

    Du mkuu mbona unahasira?jifunze kukubali kukosolewa
  7. M

    Zoezi la kubomoa nyumba za halmashauri ya jiji la Arusha linaendelea sasa

    Lema sasa yupo dodoma anakamua posho haachi hata senti anajua kbs 2015 hana chake
  8. M

    CHADEMA kufukuza madiwani wawili Shinyanga

    Ha ha ha Makani hakuwahi kuwa na ushawishi Shy kutokana na kuamisha makaburi ya wazazi wake......acha kujiziba ufahamu kama yeriko
  9. M

    CHADEMA kufukuza madiwani wawili Shinyanga

    Hakika Mbowe anatumiwa na CCM kuuwa Chadema
  10. M

    Rais Kikwete, Mbowe, Dr .Slaa na media, nawaomba mnisikilize kilio changu

    Slaa na Mbowe hawana msaada hapo , media ipi Jamhuri? kama anataka media aitishe mkuano na waandishi wa habari......haya magazeti ya propaganda chafu hayafai, asipo fanya hivyo huyu ni mzushi na anatumka auni mgonjwa wa akili nakutuma mtoa mada umpe habari hii!
  11. M

    Utata wa Sheria na Kanuni hizi za Bunge la Katiba utazaa Katiba ya mtaa wa Lumumba

    Msongo wako wa mawazo unasababishwa na tabia yako ya hofu ya usiyoyajua (fear of unknown), mimi ninatumaini mjadala wa katiba utafanikiwa sana tu, ila ile tabia ya umimi inayojengeka kwa wanasiasa mara nyingi husema ''hoja yetu ni bora kuliko ya wapinzani'' au kuamini kwamba wao ndio wanaajenda...
  12. M

    CHADEMA yasimamisha viongozi waandamizi mkoa wa Katavi

    Du hata Lema ni kiongozi wa kitaifa, kweli CDM ni chama cha waamsha popo!
  13. M

    Kiongozi wa ACT matatani kwa kushusha bendera ya CHADEMA mkoani Kigoma

    Mtoi=Yeriko=Saanane==uzush+siasa majitaka, juzi yeriko kaja na post halafu ana-koment mwenywe ,sasa na ww ni aina hiyo inasababishwa na mogoro wa afya ya akili, hivi wewe unahangaika na kigoma wakati kwenu lushoto CCM inapita bila kupingwa, hata balozi CDM haina mahali ulipozaliwa........lazima...
Back
Top Bottom