Stieglers Gorge project una athari kubwa sana katika sekta ya utalii,niamini kwani mtambo na kiwanda kitajengwa ndani ya mbuga ,pili mfumo wa maji ya MTO utavurugwa ,athari zake ni kwamba selous,ruaha national park,udzungwa mpaka MIKUMI zitaathirika na hapo itakua mwisho wa utalii maeneo nayo na...