Recent content by mwanangoko

  1. M

    Mauaji ya arbino tanzania tunakwenda wapi?

    Niliuliazwa na watu wa magharibi nikiwa Germany matembezini ,kwa nini manaua Albino? Kama msukuma ,nilipata aibu kubwa kujibu swala hili
  2. M

    Waziri Mwinyi alikwepa JKT kwa mujibu wa sheria

    Yuko pale kwa JINA tu.Hii ni serikali ya kisultan na kiswahiba!,i bet you 2025 au before that utasikia RizOne ni Waziri katika serikali.
  3. M

    Harbinder Singh Sethi aliyenunua IPTL ni nani?

    Naona Rostam na huyu Singasinga kwa niaba ya CCM wanatudharau sana Watanganyika halisi! Unqualified Mzenj ni waziri wa fedha Tanganyika Tumepewa Msomali kuwa boss pale TRA! Dentist wa Tembo yuko above the law!Oh my God!
  4. M

    Boko Haram wateka wasichana wengine 8

    200 + 8 = 208,hawa ndugu zetu wa Boko Haram wamewaka wapi hawa watoto ?Allah Akbar
  5. M

    Rev Mtikila mbona yuko kimya sasa?

    Hakuna mtu aliyekuwa passionate na Tanganyika kama Rev Mtikila. Nilimwona kama sikosei mwaka 1995 hivi akitembea na bendera ya Tanganyika akielekea mitaa ya Shaban Robert. Simwoni frontline kwenye UKAWA,au ndio magamba yamempa kitu kidogo akae kimya? Nimesikiliza audio ya Bishop Kakobe,masaa 2...
  6. M

    Mh. Mizengo Pinda: Tanganyika ilidumu kwa Mwaka Mmoja na Nusu.

    The worst PM Tanzania ever had!
  7. M

    Nape na UVCCM Acheni unafiki kwa Mwl.Nyerere,Tundu Lissu Hongera Sana

    Haha una ndoto za abunuisi. Eti kulinganisha Ujamaa na Kujitegemea na nchi za Scandinavia!!!! Wote tumesoma shule!Ila mimi sio wale wa liosoma Kivukoni!au watoto wa Magamba! Nchi gani imesuccedd dunia hii kwa socialism? Nchi za Scandinavia zinafuata market economy .Umeshakaa Uingereza au nchi...
  8. M

    Natafuta nakala ya Tamko la Christian Forum - Ijumaa Kuu

    Kulipua bomu kwenye kitimoto ni ustaarabu
  9. M

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    Ndio Le Mutuz atatetea uozo wa magamba maana siku ya mabadiliko dada zake wote watapigwa chini maana ni teuzi za kitapeli tapeli
  10. M

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    Le mutuz una bifu na Mh Lissu kwa sababu alihoji uteuzi wa dada yako kuwa jaji ufupi hakuqualify simply ni jina tu.kuna blogu inasema tangu 2006 wakati wanaripoti dada yako jaji feki alikuwa hajasikiliza kesi hata moja!kazi yake ilikuwa kwenda kutibiwa India
  11. M

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    Le Mutuz yule dada yako aliyepewa ujaji na JK kweli unamlinganisha na Mh Lissu au Jaji Warioba?
  12. M

    Huu ni wakati Wazanzibari kudai Abdu Jumbe aachiwe huru...

    Mpaka leo sielewi kama Aboud Jumbe alikuwa pro Zanzibar mbona bado yuko Kigamboni Tanganyika.Kama yuko kizuizini mpaka leo bila shaka wanasheria wangechallenge hii detention without trial
  13. M

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    Huyu Kilaza ameona McKinsey tu ndio mahali pa kufanya kazi?
  14. M

    Jeshi la Polisi laahidi kutoa dau la zaid mil 10 kwa mhusika wa bomu Arusha.

    Olasiti,Soweto still unsolved Policcm eti leo mmeahidi shs 10m kwa bomu la kwenye baa?
Back
Top Bottom