Mauaji ya arbino tanzania tunakwenda wapi?

Mauaji ya arbino tanzania tunakwenda wapi?

nicholau

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
133
Reaction score
49
Wana Jamii forums,
Binasfi nimesikitishwa na kauli ya yule Dada aliyekuwa anaonge kwenye vyombo vya habari hasa Wapo radio. Alikuwa akiongele manyanyaso wanayopata watu aina ya albinism. Kweli miaka 50 ya mungano bado hatuna njia ya kuwalinda watu wenye maono hafifu (Abino) ambao kwa sasa wanaishi kwenye mazingira magumu. Inasikitika kuona jumla ya watu 70 au wameuwawa au wamejeruhuwa. Hata kama serikali haiamini uchawi, japo watendaji wengi wa serikali au ni wachawi moja kwa moja au wamejihusisha ya mambo ya kishirikina.
Rais yupo, waziri mkuu yupo, polisi wapo na jeshi lipo, wamekaa kimya tu kana kwamba hawaoni na wala hawasikii. Vyombo vya kutetea haki zabinadamu hawalijui hili? Kwakwe liinauma sana. Wachungaji na Masheh hii Tanzania inakwenda Wapi? Inasikitisha sana.
 
Niliuliazwa na watu wa magharibi nikiwa Germany matembezini ,kwa nini manaua Albino?

Kama msukuma ,nilipata aibu kubwa kujibu swala hili
 
Nafikiri hili ni suala la hawa albino alikupaswa kulinasibisha na Muungano. Hili lilitakiwa linasibishwe na uhuru wa nchi husika ndani ya muungano. Kwani ukilinasibisha na Muungano yaani miaka 50 basi hapa unalijumlisha na Zanzibar.

Hebu tujiulize kwanini unyama huu unatendeka huko kanda ya Ziwa tu na sio pwani au hata kanda ya Kusini na Znz? Mambo mengine sio tu ni kujidhalilisha bali pia ni kujifadhwehesha kwani hata kule alikozaliwa baba yenu wa Taifa Nyerere kuna mauaji ya akina mama!

hapa ndio watu wanawatia aibu wengine duniani kwa kujitwika na kuvaa koti la mvungano.
 
Mkuu unauliza tunakwenda wapi bila kufuatilia historia? Mauaji yalichachamaa sana wakati wa kuelekea uchaguzi 2010, na pia 2005. Na sasa tunaelekea 2015 na CCM ile ile itaweka wagombea kila kata, kila jimbo. Walijaribu kusingizia wavuvi na wachimba madini lakini ukweli umejidhihirisha kuwa wauaji wa albino ni wanasiasa, tena wa CCM wanajidanganya viungo hivyo vinawasaidia kukubalika majukwaani na kupata kura wasizostahili wakati wa uchaguzi.

Mungu wasaidie ndugu zetu albino wakati tunaelekea uchaguzi mwakani.
 
Cha ajabu, huyu dada kalalamika kuwa madai haya ni ya muda mrefu. Eti mahakama ilimwamba ana maono hafifu. Walimpimaje kujua kwa haoni? Hata kipofu Mungu amemjalia kuwatambua watu. Serikali ione aibu.
 
Back
Top Bottom