Hapo sasa naanza kuelewa,kumbe vita hii si ya madawa hharamu ya kulevya bali ishakuwa ya kisiasa...ccm v/s upinzani?sasa mbona Gwajima akaachiwa huru bila masharti yoyote?
Hili ndilo tatizo kubwa linalotukumba watanzania,kamwe ukweli hatuupendi na tunafurahia kuongepewa,hivi wewe ulitaka usifiwe kuwa shilingi ya Tanzania inaimarika wakati kila siku imezidi kuporomoka?sifa gani ulitaka ulinganishwe kwa shilingi ya Kenya wakati kwa sasa shilingi ya Kenya ni sawa na...
hahaaaa napenda sana watanzania wa leo....alijua hatutakumbuka sababu yeye aliona tarehe 20/8/2015 ni mbali. na pia mke (katiba) kagomewa na mumewe (wananchi)....so gharama zooote za kitchen party atueleze nani atazilipa?na hiyo harusi aliyoipamba kwa mbwembwe na jamaa yake six imekula kwao...
nadhani nyie ndo wenye uchu wa madaraka,hivi hamjishangai tu zaidi ya miaka 50 bado mwatuambia nchi changa,hiyo akili au matope?ndo mjue CCM ni chama au chombo haramu na mtaji wake ni kuwafanya watz kuwa masikin wa akili ili waendelee kutawala kwa manufaa yao na vizazi vyao... funguka ndugu...
Mimi ninachoamini ni kwamba ukombozi umeletwa duniani kwa sababu wanadamu tu wa dhambi, ni heri yule aliyejitambua kuwa hayupo nyumba salama na kuikimbia na kwenda nyumba isiyo dhuluma kuliko kukaza shingo na kuushikilia uovu na dhuruma iliyotamalaki ccm... to me Lowassa has shown a way is...
Musa alizaaliwa katika kabila la Waisrael lakin akalelewa na kukulia katika ikulu ya Wamisri chini ya uongozi wa mfalme Faraoh. Kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU Musa alitoka ikulu ya Faraoh na kwenda kuwakomboa Waisrael katika mateso ya miaka mingi. Hivyo ni sawa na Edward Ngoyai Lowassa aliyelelewa...
Kingwendu huwezi kumlinganisha Kingwendu (Mwinshehe Rashid) na wabunge wa fisiemu kama Lusinde, Maji marefu, Deo sanga (Jah pipo), Assumpta mshama nk...na hii yote hayo magamba ndo yamefanya bunge liwe la kawaida sana maana hakuna tofauti na bar au gulio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.