Recent content by MWANAMKE MTANZANIA

  1. M

    Mabango ya Lema yaichanganya CCM

    Shkamoo Godbless Lema. Feruzi Bano apewe koti la kuogelea. Na bado.
  2. M

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    Me nafurahi sana wanavyomdhihaki maana ndo wana mtengenezea njia kama ilivyokuwa kwa Bwana Yesu.
  3. M

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    Kama TB JOSHUA alisema na amerudia tena basi CCM kalaleni. Neno la TB JOSHUA huwa halidondokagi chini bure. Kubalini yaishe.
  4. M

    CCM tutulize vichwa, Lowassa ni tatizo tulilojitengenezea wenyewe, hakujitengeneza!

    Yaani we Malecela sikuwahi kukaa nikafikiri kuwa ungekuwa na akili mgando kiasi hicho. Do you think you are still growing? Man! You are shrinking now!!! Ni bora ungesettle na familia yako ukatulia. Laana ya wale watoto uliowakimbia unakutafuna na itaendelea kukutafuna. Hakika nakwambia. We...
  5. M

    Davis Mosha: Nitaifuta CHADEMA na masalia yake Moshi Mjini

    Hahahaaaa! Anaoga na nguo huyu Mosha. Hiyo hela angewapelekea yatima na wajane.
  6. M

    UKAWA Hawajiamini Na Hawana Makubaliano Ya Uhakika..

    Mbona unaandika havisomeki wala havieleweki? Kama unaimba vile!
  7. M

    CHADEMA Kimandolu, Arusha mnatia aibu!

    Nimesoma post na comments zote kwa umakini mkubwa. Mngekuwa mnakipenda chama kwa nyie mlio comment yaani wana CHADEMA mngefanya uchunguzi wa hii post na sio kukurupuka kwa matusi na kashfa zisizo na mashiko. Lengo ni moja. Kukijenga chama. Sasa ikiwa mnapewa taarifa nyeti namna hii na...
  8. M

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Uko sahihi. Wanakimbia tu kivuli chao. LOWASSA hana tuhuma yeyote ya kujibu. Hahusiki na kashfa ya aina yoyote ile. Mkuu albebesha hili zigo
  9. M

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Yeyote anaedai kukihama CHADEMA kisa eti Lowassa kakaribishwa basi huyo hajui siasa. Chama ni mali ya watanzania. Chama kina haki ya kupokea au kumtoa mtu yeyote kwa kufuata kanuni na taratibu za chama. Pia mnaosema kuwa Lowassa ni mwizi mnaweza kuleta ushahidi wa wizi wake? Walioiba...
  10. M

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Medical Dictionary Christopher Mbajo ushinjie mboha!
  11. M

    Wasanii waliochukua fomu za Ubunge

    Ningependa nami kuona cv yake. Nimestuka kidogo. Kumbe tuna wasomi then hapo hapo ni waongo? Let me wait n c
Back
Top Bottom