chaikavu..jifunze kuskiliza au kusoma hata vile usivyovipenda. Hii ndio taarifa. Hutaki unaacha..
jebibay..
Hii ndio habari. Leo mwenyekiti huyo ndg. Renatus Kimario ameondoka kwenda Tanga na basi la RATCO akiwa na mjumbe ya serikali ya mtaa wa kijenge kusini aitwaye Jesca Pascal Mudogo..
Wewe utakuwa mgombea unaejua utashindwa
Usahihi: Hakuna uwakika habari kama hii uzushi siyo mzuri
Chadema Kwanza
jebibay..
Hii ndio habari. Leo mwenyekiti huyo ndg. Renatus Kimario ameondoka kwenda Tanga na basi la RATCO akiwa na mjumbe ya serikali ya mtaa wa kijenge kusini aitwaye Jesca Pascal Mudogo..
wacha uongo jesca nilikuwa nae jioni ya leo ofisini kijenge kusini
Jesca kapanda RATCO asubuhi saa moja. Kafika Moshi kapigiwa simu mama yake kazidiwa ikabidi arudi na LIM Safaris. Njoo hapa kijiwe cha kahawa kijenge chini upewe data
Pikipiki imeonekana hapa kituo cha mafuta Mt. Meru Petroleum kwa lalaa kona ya mwanama leo saa tano asubuhi ikiwa imem beba girlfriend wake Renatus Kimario aitwae Mage Kitoi akielekea kanisani Moshono KKKT.
Mtoa mada ni shoga anaka hapo kwa saidi nanga,msameheni bure.
Kwahiyo kuwa shoga ndo kunafanya hoja yangu ikose uhalali? Hii ni taarifa tu. Kama hutaki wee acha. Povu la nin sasa??