Recent content by mwanamichakato

  1. mwanamichakato

    Haipendezi serikali kuiba kura

    Ipo shidaaa
  2. mwanamichakato

    Nchi masikini, ina wabunge wa viti maalumu 100+ Afrika tumelaaniwa vibaya! Nini kinazuia katiba isirekebishwe?

    Kwa deni tulilonalo kama taifa tulipaswa kukaa chini na kujitafakari mnoo na ikibidi kuchukua hatua madhubuti kudhibiti matumizi mengi yasio na tija kitaifa. Deni ni utumwa na dimbwi la umaskini Ulipaji riba ni kansa ktk uchumi. Ukikopa Benki ukaweka rehani nyumba unayoishi na familia mbaya...
  3. mwanamichakato

    Zimwi la IPTL ni mfupa uliomshinda fisi?

    RIP Deo F RIP Werema Tumbili anakula kuku RIP JPM
  4. mwanamichakato

    Najua ni suicide mission, ila nimeamua kurudisha mbegu za asili shambani

    Iliwezekana miaka nenda rudi kabla miaka ya tisini mwanzoni kuja sasa
  5. mwanamichakato

    Najua ni suicide mission, ila nimeamua kurudisha mbegu za asili shambani

    Hongera Sana Inawezekana Matatizo ya nguvu Za kiume,magonjwa ya kisukari,Kansa,Moyo,Ugumba na magonjwa ya akili yatakoma
  6. mwanamichakato

    Ripoti ya CAG; Matumizi yasiyokuwa na tija ni zaidi ya Bilioni 300

    Watendaji kwenye taasisi zenye kupata hasara ya mabilioni wajitafakari ikiwa wanastahili kuendelea na nafasi zao au wanastahili hata kutia nia ya kugombea nafasi Za kisiasa (Ubunge,udiwani,etc).. Kimsingi wafanye maamuzi ya kujiuzulu pasipo kusubiri kutenguliwa,Kuvuliwa nafasi au kutumbuliwa..
  7. mwanamichakato

    Kagame ameingia kwenye mfumo, safari hii hatoboi!

    War propagandists often attack historical understanding as a public that doesn’t understand history, or believes a sanitized form of history is more susceptible to war propaganda.
  8. mwanamichakato

    Kagame ameingia kwenye mfumo, safari hii hatoboi!

    Within the realms of what goes around resides the magnitude and severity of what comes around.
Back
Top Bottom