KWA WATU WA NAMTUMBO-SONGEA-RUVUMA
Bi. Betty (Rehema) Fwelefwele Kalala wa Musoma vijijini mkoa wa Mara anamtafuta baba yake mzazi aitwae METHO KAPINGA. kapinga ni jina la kabila la watu wa mkoa wa Ruvuma ambao ni wangoni,wamatengo na wandendeule hivyo kabila lake ni moja kati ya hayo.Dini...
Bi. Betty (Rehema) Fwelefwele Kalala wa Musoma vijijini mkoa wa Mara anamtafuta baba yake mzazi aitwae METHOD KAPINGA kabila Mnyakyusa(mama mtu ndio anadai method ni mnyakyusa ila kutokana na jina la kapinga ni jina la kabila la watu wa mkoa wa Ruvuma ambao ni wangoni, wamatengo na wadendeule...
Nilikutana na dada mmoja pale msasani beach yupo na mzee wa kichina. Mtoto wao ni mchina mtupu. Yaani ukiambiwa huyo dada ndio mama yake waweza bisha. Wachina wana genetic kali mno
KUKOPESHWA SIMU
Maisha kwa sasa yamerahisishwa. Pata kitu roho inapenda kwa pesa ndogo huku ukimiliki kitu kikubwa chenye thamani.
Pata simu kwa mkopo iwe smartphone (itel, infinix na tecno)
Vigezo:
Kianzio 30% ya simu uitakayo
Kitambulisho cha mpiga kura au cha NIDA au namba ya nida.
Uwe...
Habari ya uzima. Kuna vitu nilikuwa na screenshot kwenye simu kisha naa upload kwenye Google photo. Ila sasa baada ya kuflash simu sizioni kwenye Google photo. Je nawezaje kuzipata?
Nikitaka kurecovering document za simu nafanyaje baada ya kuflash simu.
Asanteni.
Habari ya uzima. Kuna vitu nilikuwa na screenshot kwenye simu kisha naa upload kwenye Google photo. Ila sasa baada ya kuflash simu sizioni kwenye Google photo. Je nawezaje kuzipata?
Nikitaka kurecovering document za simu nafanyaje baada ya kuflash simu.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.